Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Kwanini Mbuzi, papai, fenesi na Kware wawe na Corona?

Tatizo hawapi ushirikiano WHO tutaisha kwa ujuaji

Hatuwezi kuwasikiliza makuwadi ambao wanatumiwa. Kama unakumbuka November walisema tuna Ebola wameishia wapi? WHO ni pandikizi la Mabeberu.
 
Kwamba tunaimiliki wenyewe siyo sababu ya kuamini matokeo yake yote hata ambayo hayaingii akilini! Papai kuwa na corona kwa ndani wapi na wapi?
Mkuu unajua kuwa huyu mtu unauyemuamini sana ndo mwajiri namba moja? Je hao wafanyakazi waliomwambia papai lina corona bado wapo kazini? Je hivyo vifaa vinavyoonesha papai lina corona bado vimo ndani maabara ya taifa na aliyependekeza vinunuliwe bado yupo kazini?
 
Waziri mteule wa katiba na sheria Dr Mwigullu Nchemba ataapishwa leo saa 4:15 katika Ikulu ndogo ya Chato.

Tukio zima litaongozwa na Rais Magufuli.

Up dates;
Mwigulu amepewa majukumu ya kupambana na Corona kisheria

Source Clouds tv
Kwa huyu mweshimiwa! Wana JF tujitahadhari kushare issues za corona. I'm smelling a very big rat.
 
Hatuwezi kuwasikiliza makuwadi ambao wanatumiwa. Kama unakumbuka November walisema tuna Ebola wameishia wapi? WHO ni pandikizi la Mabeberu.
Bora tu hao mabeberu wawepo ili tupate pa kurushia lawana hata kama ni uzembe wetu.
Wasingekuwepo tungekulana wenyewe humu ndani,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mamluki huwa wanatumia vipenyo kama hivi,yaani wakati wa tauni.
Uwezekano upo kwa asilimia.kubwa.

Kwa miaka mingi nilikuwa nasikia kutoka vyombo vya habari magazetini na vijarida jinsi gani mabeberu wanavyotumia ujasusi pamoja na mamluki kuwaondoa wale ambao wanaingilia agenda zao...

hivi sasa vyombo vya habari ambavyo kwa asilimia kubwa hawa jamaa wanahodhi, wana uwezo wa kusambaza habari zinazoleta taharuki na kutumia taharuki hizo kuendeleza unyama wao. Upo uwezekano mkubwa...

...kutumia mianya inayotokea wakati huu kuwaondoa wale ambao ni vizingiti katika kuendeleza agenda zao...mkumbuke hata wakati wa ukimwi ulivyotokea ni jinsi gani Wazalendo na wakuu wengi waliondoka harka haraka...upo uwezekano pia mianya hiyo ilijitokeza nyakati hizo na kuwapunguza wapinzani wao. Sembuse sasa?

Usalama wa taifa ni muhimu sana kwa wakati/nyakati hizi za tauni kuangalia nyendo za hao mabeberu, mamluki, n.k
Mh Raisi anavita nao, Taifa lina vita nao, uhuru wetu na maisha yetu ya baadae yata tegemea uwezo wetu wa kupambana nao sasa.
Mh. Raisi kama ana shuku na hayo, basi kama kiongozi wa Taifa na Wannchi wake najukumu kutumia mikono ya dola, ujasusi, na mengineyo kuyaomdoa mawezekano ya "sabotage' ni haki yake, ni haki ya taifa lelote linalojali wananchi wake.

Hivyo basi, kumteua Waziri wake muhimu katika vita hivi kwa haraka na na kugusia uwezekano wa kuingiliwa na hata kutumiwa na mabeberu katika sehemu nyeti kama mahabara ya taifa, I say, he has a valid concern!

Tuache hofu, tufuate utaratibu unaoeleweka, tuchukue tahadhari, vile vile tumwangalie nyoka yule kwenue fimbo ma kumwomba mungu.
Aluta Continua.
 
Inapozungumziwa oil unaelewa nini mkuu?
Maana usijekuwa unaivutia picha ile nyeusi?
Nimeivutia picha hydraulic oil, gear oil na engine oil zote mpya nashindwa kuelewa. Kwa vyo vyote vile kwenye ile pamba ya kuchukulia sample oil ingesambaa mpaka kwenye kile kijiti cha plastic! Na hata rangi wale technicians wangestukia.
 
Hatuwezi kuwasikiliza makuwadi ambao wanatumiwa. Kama unakumbuka November walisema tuna Ebola wameishia wapi? WHO ni pandikizi la Mabeberu.
Kwahiyo hakuna Corona?
 
Tauni ipi unayozungumzia?
 
Nimeivutia picha hydraulic oil, gear oil na engine oil zote mpya nashindwa kuelewa. Kwa vyo vyote vile kwenye ile pamba ya kuchukulia sample oil ingesambaa mpaka kwenye kile kijiti cha plastic! Na hata rangi wale technicians wangestukia.
Nmekuelewa mkuu.
 
Nimeivutia picha hydraulic oil, gear oil na engine oil zote mpya nashindwa kuelewa. Kwa vyo vyote vile kwenye ile pamba ya kuchukulia sample oil ingesambaa mpaka kwenye kile kijiti cha plastic! Na hata rangi wale technicians wangestukia.
Na pengine labda walistuka nao wakaamua kujifanya machizi zaidi kwa kumpa positive. Na mtu kama huyu ili kumfanya asizidi kuwa mwenye michezo ya kitoto unampima naye unampa positive
 
Na
Nani kakuambia kuwa Rais wetu hafanyi kazi? Kutoa maelekezo siyo kazi? Kuteua mawaziri siyo kazi? Kuapisha waziri siyo kazi? Hata
kama haumpendi lakini macho unayo na masikio unayo! Unamwona na kumsikia akifanya kazi!

Sawa bwana mkubwa... Utakuja uongee upate Covid-19 bureeee...
Kama ndo misingi ya kazi alizochaguliwa afanye wala sina shida...
I trust that likija kumfika yule ndugu yako anayenufaika na huu utawala ulopotoka utaungana na wenye busara kukiri kuwa "hakika jiwe ni jiwe tu"...
Pondeni maraha... Hili kwa sasa haliwahusu...
 
Ikiwa Raisi atatuma ndege Madagasca kuleta dawa,hapo amenikosha na nampa dole πŸ‘ .
Lakini namsihi Raisi Wangu,Huu ugonjwa ukiachiwa mitaani utazidi kusambaa,sasa sijui itakuaje.
Wacha hiyo dawa iwahi ili tuanze kuwatibu wagonjwa mahututi,
Ama na hili la Kufunga majumba ya ibada kwa hofu,nakupongeza,inaonesha upungufu wetu wa Kumtumaini Mungu nakuogopa mauti ambayo ni kiumbe kama ssisi
Hongera mzee.
 
You are very right!
 
Waziri wa sheria na mambo ya katiba ameagizwa kwenda kuichunguza maabara ya taifa kwa sababu ina kontrovesio nyingi.
Uwe unasikiliza na kuelewa. Ameambiwa akaangalie kama kuna ishu ya jinai wanasheria wachukue hatua. Mbona mnapenda kugeuza mambo?
 
Time will tell,
Tanzania ikiangamia kama marekani kwa vifo na maambukizi,ndo tutajua nani juha na shetani na nani mwerevu na Malaika.
Ombeni hilo lisitokee hapa kwetu,lakini naona kama itakuwa muujiza.
Amen
From today’s speech , I am very sure Corona is over! Once you understand the source of the problem, that means the problem is over!
 
Dawa za Afrika haziwezi kupitishwa kwa sababu hiyo ni biashara ya mataifa makubwa tu. Wewe kinyago huna mamlaka ya kuuza dawa ambayo itakuwa maarufu.
Kabisa watu wame finance kwenye dawa/chanjo za maabara ambazo zinagharimu mabilioni wewe uje ulete mitishamba yako utakaa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…