Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Kwanini Mbuzi, papai, fenesi na Kware wawe na Corona?

Naona Leo chadema hawalali wanaisikiliza hotuba ya mh. Raisi Mara 70 na hawakuti mistakes. Kupambana na ukweli ni kazi ngumu sana
 
Ndio unaweza kubadilisha ila kwa yeye hajabadili jina bali alitumia jina la mtu mwingine kama unajua mambo ya elimu tena mtu akifaulu kama hajaja shule unaonga mwalimu unatumia jina la huyo mtu.
Asante sana ila kama kwa kutumia akili na mikono yako, ukapata Div. 1 ya pont 7 O level, a level pia, 1st Class 1st Degree, high performance Masters Level na Ph. D kwa kichwa na mikono yako, tupongeze achana na side shows. Tumpe pongezi tuu.
Hakuchukua cheti cha mtuu ila ni kichwa chake. Ahhhhhhh tuwe tunakubali tuonapo mema.
 
Ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona, kaa umbali wa mita moja kati ya mtu na mtu. Piga 199 au *199#. Ukiwa nje ya nchi piga 0800110124

"ᴺᵒ ⁱᵐᵖᵒˢˢⁱᵇˡᵉ ᵗʰᵉ ʷᵒʳᵈ ⁱᵗˢᵉˡᶠ ˢᵃʸˢ ᴵ'ᵐ ᵖᵒˢˢⁱᵇˡᵉ"
 
Watu wakasali viwanja vya uwazi na social distancing izingatiwe kama yeye hapo


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Pole kaka,unataka kusema rais wetu anajua watanzania wote Ni wasomi Kama wewe hata akiongea kwa fasihi na nahau tutamuulewa tu.Kuhusu hicho ulichoekewa wewe,shida ya maabara yetu vifaa au Wataalamu? Na uchachuaji ulianza baada ya hao hao kumwambia Corona ipo nchini na tayari watu 16 wamekufa au ulianza baada ya jamaa kugoma kucopy na kupaste Mambo ya wazungu? Ni hatua gani zimechukukiwa kuhusu uchachuaji huo? Baada ya kutuambia maabara inachachua,ametoa njia nyingine inayoweza kutumiwa na watanzania kupima Kama wana corona?
 
tufanye hayo yote tukichapa kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa umeandika nn mzee??
MATAGA mnashida Sana nan akupe access na rais ww? Na Elimu yako ndogo

Sent by IPhone
 
Mkuu najua utafanikiwa azma yako... Ila ukifanikiwa kuwa karibu na mkuu msaidie ushauri hasa hasa kwenye matumizi ya "dawa zake zile"...
Pale ndipo panapoyumbisha dishi zima...
 
Sasa kama hakuna Corona dawa kuchukuliwa Madagascar za nini sasa.Msitudanganye CORONA ipo inaua mfuate Maserati wa wataalam wa Afya sio siasa.Kama majibu keki sasa system ya Afya si iko china ya utawala wake mnasifia mini sasa kama hata kipimo cha COVID-19 kinatushinda
 
Mkuu najua utafanikiwa azma yako... Ila ukifanikiwa kuwa karibu na mkuu msaidie ushauri hasa hasa kwenye matumizi ya "dawa zake zile"...
Pale ndipo panapoyumbisha dishi zima...
Wala sio mambo ya dawa, mimi nahitaji ANITEUE tu niwe karibu naye, kwa mambo mbalimbali, naamini nitajifunza mengi kupitia yeye na pia naye atajifunza mengi kupitia mimi na elimu yangu "ndogo"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…