Ikulu ndogo ni nini, ikulu ndogo au kubwa anaishi/ana kaa nani?
Ni mtu gani mwenye hadhi ya kukaa ikulu?
Pengine tuulizane kwa kupanua swali lako ili kuwa objective,
Je, Butiama au Lupaso kuliwahi kuwa na ikulu ndogo na bado zinafanya kazi sawia na msingi wa swali lako??