Thobias Maputo
Member
- Feb 10, 2020
- 22
- 32
Mgema nazi uwezi kuelewaPapai lilikutwa na corona[emoji851]
Unforgetable
Nzuri hiyoAmtaka Mwigulu kuichunguza hiyo maabara kama kuna any criminal liabilities, wahalifu washughulikie.
P
Mbona yeye amejitenga?Mimi ni mwanasayani ninajua ninachokizungumza.
Tusitishane!.
Wanasiasa msiitumie Corona kujitafutia mtaji wa kisiasa.
P
Du hata maabara yake haiamini? Basi hii serikali itakuwa imevunja record ya kuwa serikali ya hovyo dunianiMagufuli kiboko!.
Aliichunguza maabara kwa kupeleka samples mambalimbali kwa siri kwa kuzipa majina ya uongo ya binaadamu, sample ya papai ikakutwa ni positive!.
P
Watanzania tusimame imara, Corona kweli ipo, lakini tusimame imara, tusitishwe.
Sio kila anayekufa ni Corona!. Jaji Mkuu Mstaafu amekufa kwa cancer na sio Corona!.
P
Huu Ni ukweli tatizo BAVICHA Ni matomasoWatanzania tusimame imara, Corona kweli ipo, lakini tusimame imara, tusitishwe.
Sio kila anayekufa ni Corona!. Jaji Mkuu Mstaafu amekufa kwa cancer na sio Corona!.
P
Mkuu hii Lameck Madelu inatoka wapi. Mbona kila sehemu naona linatajwa.View attachment 1438380
Kila la kheri Lameck Madelu Mwigulu Nchemba ... Miezi hii miwili TUMIA BUSARA SANA. Asante
Duh!...hii kali.Magufuli kiboko!.
Aliichunguza maabara kwa kupeleka samples mambalimbali kwa siri kwa kuzipa majina ya uongo ya binaadamu, sample ya papai ikakutwa ni positive!.
P
Izi zote Ni point tatu za muhimu zoteeeKuna mambo mengi ya kushangaza kuhusu Corona!. Kwanini watu wasizikiwe kwao?.
Kwanini Evod Mmanda amezikwa Mtwara kwa lazima ambao sio kwao!.
P