Daktari wa Meno
JF-Expert Member
- Sep 5, 2019
- 509
- 1,610
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nacheka lakini naogopa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nacheka lakini naogopa
Yeye hana hofu mbona kakimbilia kijijini?KWA HALI HII KWANINI TUSIISHI KWA HOFU??!
Kuna maswali mengi sana ambayo yanahitaji majibu.Kuna mambo mengi ya kushangaza kuhusu Corona!. Kwanini watu wasizikiwe kwao?.
Kwanini Evod Mmanda amezikwa Mtwara kwa lazima ambao sio kwao!.
P
Hiyo hofu nae itakuwa imeshampata,wewe unadhani mzalendo number moja kushindwa kwenda kwenye mazishi ya mfanyakazi wake na mjumbe wa Baraza lkumshauri ni mchezo? Hii hofu asipotafuta kuishinda mniambieHofu ni kitu kibaya sana!. Kuna watu wamekufa kwa hofu tuu, awataka viongozi wa dini wasitupotoshe.
P
Wasiwasi wako Nini bhana? Mzigo unaingia soon kutoka MadagascarKWA HALI HII KWANINI TUSIISHI KWA HOFU??!
Vita ipi mkuu? Kama ya Covid19 usitujaze ujinga,hali ni mbaya!!!Watanzania tusimame imara, tumeisha shinda hii vita.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki Watanzania wote
Hii vita tutaishinda.
P
Angalia takwimu za ugonjwa huo nchini Madagascar, hawana lockdown wala nini!HIYO DAWA JAMANI INATIBU JE ANA USHAHIDI KAMA INATIBU!!! VIPI KUHUSU SIDE EFFECTS??
KAMA NI DAWA KWELI BASI NI JAMBO LA HERI
DuKuna mambo mengi ya kushangaza kuhusu Corona!. Kwanini watu wasizikiwe kwao?.
Kwanini Evod Mmanda amezikwa Mtwara kwa lazima ambao sio kwao!.
P
Watanzania tusimame imara, tumeisha shinda hii vita.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wabariki Watanzania wote
Hii vita tutaishinda.
P