Mwigulu ni jembe
Lowassa mpaka sasa anashika mkia.. Sinema yake starling kauliwa na adui kuu.. Kingunge alimfunika Lowassa kwenye ukakamavu mpaka speech
I see THOMAS SANKARA in MWIGULU NCHEMBA,Kama hayo anayoyaongea yakiwekwa kwenye matendo
Huku wananyukana kiutu uzima zaidi, halafu napenda wanavyoanika siri za watu wao....raha sana.
Matukio yapi ya kigaidi tuhabarishe mkuuu....
unataka adanganye,china wenyewe bado wapo kwenye kipato cha kati,unafikiri kufika cha juu ni mchezo?pamoja na kujitahidi kuwashinda kihotuba wenzake km lowasa,na wasira lakn hili alilosema et ataipeleka tz kwenye kipato cha kati cc hatuhitaji kipato cha kat bali tunataka rais atake tupeleka kwenye kipato cha juu kulingana na laslimali za nchi hii.