Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

duh Mwigulu anadai yeye na mke wake walikuwa na sehemu ya mama lishe na ilikuwa shida sana kabla hajapata kazi kwa hiyo anatuaminisha anajua matatizo yetu ya ajira.Mbona hawatelezi watayatatuaje kazi ni kueleza tu kwamba wanaua shida zetu so what na wala sio kutangaza nia that is a campaign speech lo am not empathy by his speech for real hawa vijana wana safari ndefu
 
Mwigulu upo vzur xnaa unaongea fact totaly npo upande wko from nw
 
Lowassa mpaka sasa anashika mkia.. Sinema yake starling kauliwa na adui kuu.. Kingunge alimfunika Lowassa kwenye ukakamavu mpaka speech

Acha hizo bwana....weka akiba ya maneno nitakukumbusha siku moja.
 
Mpaka sasa Tyson ndio anaongoza kwa speech nzuri.
Yule wa jana alijaza uwanja na mbwembwe nyingi lakini empty
 
alikuwa mtoto wa mkulima maskini, ametoa wapi hela za kuzunguka na helkopta.
 
Huyu anasema watu wanachotaka kusikia oh nilibeba zege athibitishe sio kutaka watu waone mwenzao
 
Hilo la kujenga viwanda nakupongeza Chemba, wazo lako la vijana kufanya kazi viwandani usiku na mchana limekubeba sana leo hongera.
 
mbona Mwigulu nikama yuko bungeni anajibu hoja? mm simuelewi kwakweli
 
Yuko too Professional tunaomuelewa ni wachache!! Fantastic nakuombea kwa MUNGU hata kama usipopita mwaka huu iko siku utalifanyia taifa hili mambo makubwa. Tunahitaji "the hows" kama mkuu mmoja alivyosema hapa JF

Waliosomea mambo ya sanaa na utalii hawawezi kukuelewa mkuu ila mko wachache Tanzania hii watu kama wewe (Mwigulu)
 
pamoja na kujitahidi kuwashinda kihotuba wenzake km lowasa,na wasira lakn hili alilosema et ataipeleka tz kwenye kipato cha kati cc hatuhitaji kipato cha kat bali tunataka rais atake tupeleka kwenye kipato cha juu kulingana na laslimali za nchi hii.
unataka adanganye,china wenyewe bado wapo kwenye kipato cha kati,unafikiri kufika cha juu ni mchezo?
 
Back
Top Bottom