Ficha ujinga wako hujui chochote Lowasa aliomba wimbo wa komba kumekucha ulipigwa?
Wezi wanatangaza nia. Tuangalie nani ataleta hoja zenye mashiko.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mwigulu haongozi serikala wala wizara. Yeye ni naibu waziri tu.
Alikuwa anatoa maoni yake as mchumi na changamoto alizoziona Serikalini.
Kaongea vizuri tumpe hongera yake.
Cha kujiuliza je ataweza kutekeleza?? Kwa sababu sio mara ya kwanza kusikia maneno ya kutia moyo kama hayo.
Maoni tu.
Hizo skafu ana kiwanda chake?Kati ya makubwa aliyo Fanya ni kuitangaza Tanzania kwa kutumia skafu... Hahahahaaa
Hapana Mkuu mbopee jaribu kuitafakari vizuri. Na ili ufanikiwe lazima ujifunze ambapo mwenzako kakosea ni zama za ukwel na uwazi
Haya majibu yake kuhusiana na kushuka kwa fedha yetu ni mepesi sana action zake ni miaka itachukua so tutaendelea kuteseka tu
Hili suala la kushuka kwa shilingi nilikuwa nahitaji sana majibu.atueleze immediately actions ya kuokoa shilingi sasa.kusubiri ajenge viwanda siyo leo.
Ww ndo msemaji wake...
jana hakukuwa na maswali mkuu
Huyo nae namsubiri aongee,kwa hawa walioongea tayari MWIGULU ANAFAA
jana hakukuwa na maswali mkuu
Hata Kikwete DHAIFU alikuwa na hoja yenye mashiko. "Nitaipitia tena mikataba ya madini ili kuhakikisha ina maslahi kwa nchi yetu" "Ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya" "Maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana" lakini alipoingia Ikulu akaweka kipaumbele kwenye ufisadi, kupokea pesa toka kwa marafiki zake AKA rushwa, kuwa VDG kiguu na njia na kuweka rekodi ya Rais aliyesafiri nchi nyingi za kigeni na pia aliyekuwa nje ya nchi yake kwa muda mrefu kuliko Rais yeyote yule duniani, kuwakingia kifua wezi, wapokea rushwa, wauza unga, majangili na kuwa na matanuzi makubwa ndani ya Ikulu. Kumbuka huyu kuna wakati aliitwa mpaka chaguo la Mungu kumbe si lolote si chochote naye ni fisadi tu. Watanzania tusirudie makosa ya 2005 ya kusikia hizi ahadi nzuri nzuri ambazo ni hewa na wakishaingia Ikulu ahadi zao wanaziweka pembeni kabisa. Ndani ya MACCM hakuna yeyote yule, narudia hakuna YEYOTE yule anayestahili kuliongoza Taifa letu.
Wezi wanatangaza nia. Tuangalie nani ataleta hoja zenye mashiko.