olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,305
- 1,572
jana sikupata bahati ya kusikiliza kwa makini hotuba ya Lowasa, lakini leo asubuhi nimesikiliza hotuba ya wasira.. ki ukweli sikutarajia kama wasira angeweza kuja na hotuba nzuri (imekaa kiproffessional) so nikajua nchemba kwa kuwa yeye ni msomi wa kisasa, kijana na ameshaona makosa ya wenzake angekuja na hoja za maana na nzito kwa hiyo nikawa nasubiri kwa hamu sana na nikamsikiliza kwa makini.. but sikutarajia nilichokisikia... ameonesha udhaifu mkubwa kabisa hasa ukizingatia yeye ni msomi na kijana
1. Jambo la kwanza nililoliona toka mwanzo yule mc wake anaanza ni kuwa inaonekana nchemba hana kitu tangible cha kujivunia alichokifanya katika utendaji wake serikalini.. ndio maana wakawa wanazungumzia historia ya umasikini wake akiwa mdogo
2. kosa kubwa sana aliloanza nalo hakua amefocus kwenye sera na hoja zake.. akatumia muda mwingi kuwajibu wakosoaji wake kuwa hana uzoefu, na umri wake mdogo. nk
1. Jambo la kwanza nililoliona toka mwanzo yule mc wake anaanza ni kuwa inaonekana nchemba hana kitu tangible cha kujivunia alichokifanya katika utendaji wake serikalini.. ndio maana wakawa wanazungumzia historia ya umasikini wake akiwa mdogo
2. kosa kubwa sana aliloanza nalo hakua amefocus kwenye sera na hoja zake.. akatumia muda mwingi kuwajibu wakosoaji wake kuwa hana uzoefu, na umri wake mdogo. nk