Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais


Umeongea ukweli yaan haya maccm manafiki kweli
 
Mnaweza kufanana malengo mkatofautiana ni jinsi gani ya kufikia hayo malengo. Acha wivu wa kike wewe hamna mtu kama mwigulu huko Ukawa wewe
 
Mimi amenishangaza mwingulu kuongea kama kiongozi wa kambi ya upinzania while yeye ni waziri

ama kweli dunia iko na vichekesho

Mapinduzi na upinzani bora utatoka ndani ya ccm. kwani wanajua fika na wanaona vizuri wapi wameburunda
 
Sisi watanzania ni wehu mana tunapo iamini tena ccm kwa kuipa ridhaa tena it means watz ni hakuna
 
HV wameshafika wanne au watatu?
 
Mwigulu ni miongoni mwa wanachama wachache sana wa CCM ambao unaweza ukatafuta kashifa zao ukashindwa kupata kashifa hata moja inayo mgusa,kama ilivyokuwa kipindi kile cha Mkapa alipo pitishwa na CCM,wapinzani wake walishindwa kabisa kumzushia kashifa kwa kuwa alikuwa hana kashifa yoyote.

Mwigulu akijitahidi kujitenga na baadhi ya mambo ya chama chake ambacho kimejaa viongozi wenyekashifa,hasa hili la kutumika na chama chake kutaka kuua upinzani ambalo linamfanya awe muongo,ana weza akawa kiongozi mzuri sana.
 
daaaah!! i wish mwigulu angekuwa ukawaa ingependeza xnaa but kwakuwa yupo kwenye mfumo mbovuuu basi muda c mrefuu naye atakuwa mchafu coz ya system ambayo yupoo
 

hapo kwa pombe kweli ni "minor" kama pombe haimfanyi mtu kupoteza heshima na hekima. Mfalme hatakiwi kulewa. Sifa ya pombe ikivuma kuliko ya utendaji ndo inaleta shida kama kwa yule mkuu wa wilaya hivi majuzi. Tatizo langu na makongoro ni hapo nilipomlinganisha na mbatia. tukisema tumtathmini kwa uzoefu wa uongozi tunaanzia wapi maana yeye anajitokeza akiona fursa laini ya kubebwa na si kupambana - yaani ni mtu wa on and off. Siasa kwake si career, anajifanyia tu sijui kama hobbie au niseme nini.
 

em niambie kidogo tu uwezo wa makongoro ukiacha sifa ya kuwa mtoto wa baba wa taifa, au tusubiri kwanza ahutubie?
 
Hii sheria yakila mtu kuwa nauhuru wakutangaza nia ya Unyerere inabidi iangaliwe upya mana imekuwa dharau kwa taasisi hii mhimu

Hakuna ubaya, watajichuja wenyewe by a natural process. Hata wewe nenda utangaze. who knows unaweza kupata
 
Hawa Jamaa wametoa hela wapi ya kurusha matangazo live kwenye channels kibao?

Kwani kurusha matangazo live kwa SAA 3 ni shilingi ngapi? Inaweza kuwa sawa na kukodisha chopa ? Tulia kaa chini umsikilize Rais akiongea, Viva Mwigulu
 
em niambie kidogo tu uwezo wa makongoro ukiacha sifa ya kuwa mtoto wa baba wa taifa, au tusubiri kwanza ahutubie?

Kuna uzi humu ulimuelezea vizuri sana, ila ninayokumbuka sasa ni:

1) hilo la kuwa amewahi kuwa mbunge wa arusha - jimbo ambalo linachukuliwa kuwa ni gumu kushinda kama hukubaliki, tena ukichukulia kuwa siyo mwana wa arusha

2) amekuwa mwenyekiti wa ccm mkoa wa mara kwa miaka 5

3) kwa sasa ni mbunge wa bunge la EAC

4) alithubutu kupinga hadharani vitendo vya ufisadi mwaka 2008 akishinikiza watu kujivua gamba


Nadhani 1-3 pia zinajibu swali lako kuhusu uzoefu wake ktk siasa za Tanzania

Ila nimegundua tunatofautiana kimtazamo kidogo. Tofauti niliyoiona kwako na mimi kuhusu Makongoro ni kwamba wewe unamwangalia kiushindani ziaidi, ndo maana unajaribu kumlinganisha na mwigulu au mbatia kiutendaji. Wakati mimi namuangalia katika mtazamo wa kuokoa chama na hii nguvu ya ukawa, ukizingatia ccm imeishachafuka sana usoni mwa watanzania kwa hizi skendo za ufisadi na rushwa.
 

Hauwezi kuwa umemsikiliza mwigulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…