sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,540
- 9,473
The gay is smart.
Mkuu unasema..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The gay is smart.
Mwigulu aache mipasho,aseme atafanya nini, ameniboa
Sio speech ya kuomba kura hiyo ni kutangaza nia tu
naibu waziri anataka uraisi
Watu hatuupendi umaskini yeye anatuhubilia Umaskini. huyu lofa kweli
Wazanzibar nyinyi mbona hamtangazi nia au Jamhuri hamuitaki kuiongoza
Hapana Mkuu. Nadhani Lowasa amejua mapungufu ya watangulizi wakeMwigulu ametumwa kumtibulia mtu dili zake
Hamna la maana analoongea aisee. Bora ya Wasira.
Mbowe kazaa nje ya ndoa,weka picha Mwigulu akiwa na mke wa ntu
Kwa kweli mwigulu amenishangaza,ni aina ya rais tunayemwitaji kwa sasa,tone yake imenikumbusha mwl nyerere
usitegemee miujiza sasa hata akiomba kura itakua hivi hivi
Teh teh we mwanamke huo sio umbeya..
Bado Wassira ni kidume kwa speech,
Akatafute pakuishi.. hahaha