Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lowasa Hawezi kukemea ufisadi kwa sababu na yeye ni sehemu ya ufisadiTeh teh Lowassa jana kwanini hajakemea ufisadi?? Pale kwenye rushwa alipita fasta bila kurudia maneno haha
kWANI NI MLA RUSHWA?hilo la kufamaniwa ni maneno tu kusema ukweli mgombea aliye safi kwa CCM na UPINZANI ni MWIGULU NCHEMBA PEKE YAKEAanze yeye kujiheshimu...
Huyu mh. Anavyoponda utawala utafikiri hayupo kwenye system! Mara mfumo mbovu wa kodi wakati yeye ndo incharg.. Maajabuu
Hamna la maana analoongea aisee. Bora ya Wasira.
Pole yake atabeba wa wenzake.
Let's call it a deal....
Tutakumbushana tu kwa wema baadae.
Kaolewa mwaka wa 3 huu hakuna watoto.. Alikua anapigwa na mtangaza nia
Akili ya Mwigulu ni zaidi ya Chadema wote
Mmmh yatatekelezeka hayo jamani? Au tunaombwa huruma ya wananchi? Ukijalia kiti utakumbuka......... Au tutarudi kwenye YALE YALEEE TUPO KWENYE MCHAKATO.....