Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Safiiii, mambo yameanza kunoga sasa.
Wewe uko upande gani kisiasa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safiiii, mambo yameanza kunoga sasa.
Jamani huyu anaimbisha siyo Mwaitege? Hizi pambio za kanisani zinatumika vibaya
Hata madj wa leo wana akili kuliko wale wa lowasa jana
Huyu hana historia ya Rushwa,na hakuna fisadi aliye nyuma yake,hivi Lowasa anaweza wafikisha mahakamani kina Chenge kwa mfano?
naibu katibu mkuu wa chama analialia kama vile ndo leo kaingia kwenye chama,hajasema hata moja alilofanya zaidi ya kusema nipo kwenye chungu nayajua haya,KWANI ULIPELEKWA HAZINA KUPELELEZA
Kwa mara ya kwanza Mwigulu nimempenda...
kwa ufupi mm nitakua tofauti na Uzi zinazozungumzia juu ya kutangaza nia. utofauti wa Leo ni kama barak Obama 2008.
kijana, anaejua matatizo yetu, mkombozi, bila shaka tumempata sokoine wa pili kwa dhamira, nia, uthubutu.
ukiisoma historia ya Nchemba unawazungumzia asimilia 90% ya watanzania.
viva Mwigulu Aluta continua
wa mmu humu twatambuana kwa comment zetu, lazima mapenzi, mahusiano na urafiki vizingatiwe
Duh wale ma Dj ni makada wa ccm bhana jana walikuwa wamelewa viroba
MaDJ wa LowerSir walichaguliwa bila kuulizwa kwamba wanatoka upande gani...
Wengi wao wanatokea UKAWA.
Maskini Komba nyimbo zake zinavuma wakati ameshakufa hata jana Lowasa aliomba apigiwe wimbo wa komba lakini Dj hakupiga kabisa.
Sasa ni muda wa maswali kwa lowasa kulikuwa hamna kabisa
Tena sana Mkuu. Lowasa alikuwa anasoma desa aliloandikiwa na akina Apson. Hawa wenzake wanaongea yale wanayoyaamini
..kampiga bao Lowassa kwa kutangaza nia huko vichochoroni?
..Lowassa has set the standard ya kutangaza nia.
..wagombea wote watakaotangaza baada ya Lowassa wanapaswa kufanya vizuri kuliko alivyofanya Lowassa.
..wanatakiwa kupata umati mkubwa zaidi. wanatakiwa kutoa hotuba nzuri na ya kusisimu kuliko ya Lowassa. wanatakiwa kuwa more organized and disciplined ktk mkutano wao. zaidi wanatakiwa wa-articulate a better vision kuliko ile aliyotoa Lowassa.
cc Pasco, Lizaboni, Ritz, Chademakwanza, Tumaini Makene, Mag3, Nguruvi3, Kimbunga, Mohamedi Mtoi, Kapwela
Huyu kajipanga na timu yake kuliko hata Lowasa jana
naibu katibu mkuu wa chama analialia kama vile ndo leo kaingia kwenye chama,hajasema hata moja alilofanya zaidi ya kusema nipo kwenye chungu nayajua haya,KWANI ULIPELEKWA HAZINA KUPELELEZA