Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
Habari wana jamii forum , kuna Rafiki yangu wa kike anahitaji ushauri afanye nini,
ni hivi aliingia MP siku kumi na tano zimepita ila bado damu zinatoka kidogo kidogo na anahisi maumivu ya kiuno
Ndugu zangu tatizo ni nini hasa kwa anaweza kujua msaidieni ndugu zangu
Mwenye kujua.. Tafadhari
ni hivi aliingia MP siku kumi na tano zimepita ila bado damu zinatoka kidogo kidogo na anahisi maumivu ya kiuno
Ndugu zangu tatizo ni nini hasa kwa anaweza kujua msaidieni ndugu zangu
Mwenye kujua.. Tafadhari