Kutoka damu ukeni na maumivu ya kiuno

Kutoka damu ukeni na maumivu ya kiuno

Tachu hano

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
1,506
Reaction score
2,518
Habari wana jamii forum , kuna Rafiki yangu wa kike anahitaji ushauri afanye nini,

ni hivi aliingia MP siku kumi na tano zimepita ila bado damu zinatoka kidogo kidogo na anahisi maumivu ya kiuno

Ndugu zangu tatizo ni nini hasa kwa anaweza kujua msaidieni ndugu zangu

Mwenye kujua.. Tafadhari
 
Inaweza kuwa miscarriage or not. But aende hospital..siku 15 sio hali ya kawaida hiyo aisee
 
Back
Top Bottom