Kutoka dimba la Taifa: Simba SC watakata! Wairarua Singida Utd goli 4 kwa nunge, wajikita kileleni kwa alama mbili zaidi

Hapana goli LA pili labda machouangu makengeza naona kama of side
 
Huyu aliyeomba msamaha jana bado anaendelea kukata viuno uwanjani au hayupo kabisa?
 
Kuna jamaa hapa anasema eti Manyika junior kapokea mzigo tigo pesa! Wa matopeni bwana...
Goli la kwanza alisimama tu golini. Huo muamala aliopewa si mdogo.
Pluijm atafute keeper toka nje ya nchi.
 
Jamani mikia ongezeni mabao, hawa jamaa wana uwezo wa kurudisha hayo mliofunga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…