Kutoka dimba la Taifa: Simba SC watakata! Wairarua Singida Utd goli 4 kwa nunge, wajikita kileleni kwa alama mbili zaidi

Kutoka dimba la Taifa: Simba SC watakata! Wairarua Singida Utd goli 4 kwa nunge, wajikita kileleni kwa alama mbili zaidi

Naona upande wa pili mnawewesek na ushindi wa Simba kwelikweli mkubali tu kuwa Simba ilicheza vyema ya nini kurukaruka ka maharagwe
 
Kocha wa Simba, Djuma alitamba kuwa style yake ya uchezaji ndiyo iliyofanikisha kuifunga Singida United 4-0. Lakini hii sio kweli kabisa, alicheza na wachezaji ambao wana uchovu wa hali ya juu.

Kocha wa Singida ni mtu ambae anataka mafanikio ya leoleo na ya harakaharaka ili kuwananga Yanga waliomtema. Haraka yake hiyo ilisababisha Pluijm achezeshe kikosi chake cha kwanza chenye wachezaji walewale katika kila mechi kwenye mashindano ya Mapinduzi cup yaliyomalizika hivi karibuni. Wakati timu nyingine (Simba, Yanga, Azam) waliyatumia mashindano yale pamoja na kupata ushindi lakini pia kuwapa nafasi wachezaji wote kwenye timu wapate nafasi ya kucheza. Hii ilisababisha wachezaji mihimu wa Singida wapate uchovu mkubwa uliowagharimu kwenye mechi yao na Simba hadi kufungwa 4-0 kuliko wenzao wa Simba ambao wachezaji wake walikuwa wakicheza kwa mzunguuko kwenye Mapinduzi cup hivyo kuwafanya wasiwe na uchovu mwingi wa kuendelea na premier league kama ulivyoona jana.

Mimi nakuhakikishia Simba itakapokutana na timu nyingine yenye wachezaji ambao hawakuwa Mapinduzi cup utaona kitakachotokea.
Na ndala zikakutana na mwadui iliyokuwa ikichimba almasi..,hhhhhhhh
Mapovuuu[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
26113842_1323891294381921_1992795076295599914_n.jpg
 
Kocha wa Simba, Djuma alitamba kuwa style yake ya uchezaji ndiyo iliyofanikisha kuifunga Singida United 4-0. Lakini hii sio kweli kabisa, alicheza na wachezaji ambao wana uchovu wa hali ya juu.

Kocha wa Singida ni mtu ambae anataka mafanikio ya leoleo na ya harakaharaka ili kuwananga Yanga waliomtema. Haraka yake hiyo ilisababisha Pluijm achezeshe kikosi chake cha kwanza chenye wachezaji walewale katika kila mechi kwenye mashindano ya Mapinduzi cup yaliyomalizika hivi karibuni. Wakati timu nyingine (Simba, Yanga, Azam) waliyatumia mashindano yale pamoja na kupata ushindi lakini pia kuwapa nafasi wachezaji wote kwenye timu wapate nafasi ya kucheza. Hii ilisababisha wachezaji mihimu wa Singida wapate uchovu mkubwa uliowagharimu kwenye mechi yao na Simba hadi kufungwa 4-0 kuliko wenzao wa Simba ambao wachezaji wake walikuwa wakicheza kwa mzunguuko kwenye Mapinduzi cup hivyo kuwafanya wasiwe na uchovu mwingi wa kuendelea na premier league kama ulivyoona jana.

Mimi nakuhakikishia Simba itakapokutana na timu nyingine yenye wachezaji ambao hawakuwa Mapinduzi cup utaona kitakachotokea.
Mbona Yanga kadroo na Mwadui fc na Azam na lipuli, huna hoja wewe peleka ndoo za kifusi jangwani boti linazama
 
Kocha wa Simba, Djuma alitamba kuwa style yake ya uchezaji ndiyo iliyofanikisha kuifunga Singida United 4-0. Lakini hii sio kweli kabisa, alicheza na wachezaji ambao wana uchovu wa hali ya juu.

Kocha wa Singida ni mtu ambae anataka mafanikio ya leoleo na ya harakaharaka ili kuwananga Yanga waliomtema. Haraka yake hiyo ilisababisha Pluijm achezeshe kikosi chake cha kwanza chenye wachezaji walewale katika kila mechi kwenye mashindano ya Mapinduzi cup yaliyomalizika hivi karibuni. Wakati timu nyingine (Simba, Yanga, Azam) waliyatumia mashindano yale pamoja na kupata ushindi lakini pia kuwapa nafasi wachezaji wote kwenye timu wapate nafasi ya kucheza. Hii ilisababisha wachezaji mihimu wa Singida wapate uchovu mkubwa uliowagharimu kwenye mechi yao na Simba hadi kufungwa 4-0 kuliko wenzao wa Simba ambao wachezaji wake walikuwa wakicheza kwa mzunguuko kwenye Mapinduzi cup hivyo kuwafanya wasiwe na uchovu mwingi wa kuendelea na premier league kama ulivyoona jana.

Mimi nakuhakikishia Simba itakapokutana na timu nyingine yenye wachezaji ambao hawakuwa Mapinduzi cup utaona kitakachotokea.

Jamaa chunga muwasho wako kwa simba usipite makalioni itakuwa balaa. 4 G apigwe Singida mimba utunge wewe,inakuwaje
 
IMG_20180119_170253.jpg



[HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG] Yupo Wa 5 😀 😀 😀
Hapo utawajua Kama Washabiki Wa Ndala Ni
Shithole_Fanboys pale Wanapowaza Kumpita [HASHTAG]#Simba[/HASHTAG] Wakati Wanashindwa hata Kumfika [HASHTAG]#Singida_United[/HASHTAG]..

sembo demigod
 
Back
Top Bottom