Kutoka Dunia ya Tatu hadi Kwanza: Tanzania na Ustawi wa Kiuchumi wa Mikoa yote, bara na visiwani

Kutoka Dunia ya Tatu hadi Kwanza: Tanzania na Ustawi wa Kiuchumi wa Mikoa yote, bara na visiwani

winnerian

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
379
Reaction score
603
1. Ndugu zangu Watanzania, wa dini zote, vyama vyote vya siasa, kanda zote nchini na rika zote, ni wakati wa kujiuliza: [ISPOILERNi wapi tumekosea hadi kushindwa kufikia mafanikio ya kweli ya maisha?

2. Tumeishi kwa matumaini ya maendeleo, lakini bado tunaonekana kubaki nyuma licha ya rasilimali zetu nyingi na juhudi zetu za muda mrefu.

3. Tuna mifano hai ya mataifa kama Singapore, China, Malaysia, Vietnam, na Korea Kusini ambayo wakati fulani tulikuwa sawa nao kiuchumi, lakini sasa wako mbali zaidi kimaendeleo.

4. Swali linabaki, ni nini tunachokosa au tumeshindwa kukitenda, ili nasi tufikie mafanikio ya kiwango hicho kama walivyofanya mataifa haya?

5. Ni muhimu sasa kufanya tathmini ya kina, kuchambua vikwazo vyetu, na kuunganisha nguvu zetu kama taifa ili kufikia maendeleo ya kweli kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
 
1. Ndugu zangu Watanzania, wa dini zote, vyama vyote vya siasa, kanda zote nchini na rika zote, ni wakati wa kujiuliza: [ISPOILERNi wapi tumekosea hadi kushindwa kufikia mafanikio ya kweli ya maisha?

2. Tumeishi kwa matumaini ya maendeleo, lakini bado tunaonekana kubaki nyuma licha ya rasilimali zetu nyingi na juhudi zetu za muda mrefu.

3. Tuna mifano hai ya mataifa kama Singapore, China, Malaysia, Vietnam, na Korea Kusini ambayo wakati fulani tulikuwa sawa nao kiuchumi, lakini sasa wako mbali zaidi kimaendeleo.

4. Swali linabaki, ni nini tunachokosa au tumeshindwa kukitenda, ili nasi tufikie mafanikio ya kiwango hicho kama walivyofanya mataifa haya?

5. Ni muhimu sasa kufanya tathmini ya kina, kuchambua vikwazo vyetu, na kuunganisha nguvu zetu kama taifa ili kufikia maendeleo ya kweli kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
Ili nchi iendelee inaitaji vitu vinne
1.Uongozi bora
2.Siasa Safi
3.Ardhi na
4.Watu
Kwa maoni yangu naona Tanzania na nchi nyingi za Afrika tumekwama hapo kwenye namba 1 na 2
 
Jiulize kwanza wewe "umekosea wapi kuifikia ndoto ya maisha ya juu licha ya kuzungukwa na rasilimali lukuki?"
 
1. Ndugu zangu Watanzania, wa dini zote, vyama vyote vya siasa, kanda zote nchini na rika zote, ni wakati wa kujiuliza: [ISPOILERNi wapi tumekosea hadi kushindwa kufikia mafanikio ya kweli ya maisha?

2. Tumeishi kwa matumaini ya maendeleo, lakini bado tunaonekana kubaki nyuma licha ya rasilimali zetu nyingi na juhudi zetu za muda mrefu.

3. Tuna mifano hai ya mataifa kama Singapore, China, Malaysia, Vietnam, na Korea Kusini ambayo wakati fulani tulikuwa sawa nao kiuchumi, lakini sasa wako mbali zaidi kimaendeleo.

4. Swali linabaki, ni nini tunachokosa au tumeshindwa kukitenda, ili nasi tufikie mafanikio ya kiwango hicho kama walivyofanya mataifa haya?

5. Ni muhimu sasa kufanya tathmini ya kina, kuchambua vikwazo vyetu, na kuunganisha nguvu zetu kama taifa ili kufikia maendeleo ya kweli kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
CC: Major quimby
 
1. Ndugu zangu Watanzania, wa dini zote, vyama vyote vya siasa, kanda zote nchini na rika zote, ni wakati wa kujiuliza: [ISPOILERNi wapi tumekosea hadi kushindwa kufikia mafanikio ya kweli ya maisha?

2. Tumeishi kwa matumaini ya maendeleo, lakini bado tunaonekana kubaki nyuma licha ya rasilimali zetu nyingi na juhudi zetu za muda mrefu.

3. Tuna mifano hai ya mataifa kama Singapore, China, Malaysia, Vietnam, na Korea Kusini ambayo wakati fulani tulikuwa sawa nao kiuchumi, lakini sasa wako mbali zaidi kimaendeleo.

4. Swali linabaki, ni nini tunachokosa au tumeshindwa kukitenda, ili nasi tufikie mafanikio ya kiwango hicho kama walivyofanya mataifa haya?

5. Ni muhimu sasa kufanya tathmini ya kina, kuchambua vikwazo vyetu, na kuunganisha nguvu zetu kama taifa ili kufikia maendeleo ya kweli kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
Mbombo ngafu,

Hadi jamii mafuvu yarudishiwe akili?,

Jamii ya mikopo kausha damu, yaani jamii ya bora liende, (kanyaga twende).

Jamii ambayo eti mikopo ndiyo fursa?
 
Ili nchi iendelee inaitaji vitu vinne
1.Uongozi bora
2.Siasa Safi
3.Ardhi na
4.Watu
Kwa maoni yangu naona Tanzania na nchi nyingi za Afrika tumekwama hapo kwenye namba 1 na 2
Siasa safi au mbaya husababishwa na uongozi.
Kwa hiyo, mkwamo upo kwenye namba 1 ambao umeharibu 2 na 4.
 
Kila mtanzania mpiga kura apewe muda wa kufanya kitu chaitwa "self reflection" kisha aandike insha.

Hiyo itasaidia sana.
 
Jiulize kwanza wewe "umekosea wapi kuifikia ndoto ya maisha ya juu licha ya kuzungukwa na rasilimali lukuki?"
Hivi unayo habari kwamba "a paralyzed governance system is a paralyzed private sectors and all other sectors under it?" Mandeleo sio kujenga contemporary house na kuweka paving blocks nje

Unazo pia habari kwamba wazabuni wengi wa ndani na nje hawajalipwa stahiki zao hadi sasa kwa miezi mpaka miaka kadhaa? Kwamba hawana matunaini ni lini watalipwa baada ya kutimiza makubaliano na taasisi mbalimbali zilizopo chini ya serikali!
 
Ili nchi iendelee inaitaji vitu vinne
1.Uongozi bora
2.Siasa Safi
3.Ardhi na
4.Watu
Kwa maoni yangu naona Tanzania na nchi nyingi za Afrika tumekwama hapo kwenye namba 1 na 2
Shida ya nadharia zisizo pure science(utopien)hauwezi kuzihakiki ukweli wake,Kama si chokochoko na kupelekea vita kuu ya II Nchi kama :Ujerumani ya Hitler,Ially yaMussolin,Japan za enzi hizi zingekuwa na uchumi je,lakini hilo 9 ,kumi hauwezi kuendelea ukiangalia Mataifa yote ya Africa 50 hayajaendelea Bado tuna copy na paste technolojia iliyopitwa(obsolete)ya Nchi xilizoendelea.Wakati Dunia inaachana na matumizi ya Nishati chafu kama mafuta(Petrol,diesel,coal...)huko ndio tunagundua mafuta Kila mahali,kule wameanza kutumia maji,umeme,solar kuendesha mitambo sisi ndio tunajenga technologia za mafuta.Waliandika zamani hatua za Maendeleo ni hizi;Communalism,Slavery,Feudolism,Capitalism,Communist na hatimaye Socialism.Mwisho tujue mpaji ni Mungu,Almighty🌑
 
Ili nchi iendelee inaitaji vitu vinne
1.Uongozi bora
2.Siasa Safi
3.Ardhi na
4.Watu
Kwa maoni yangu naona Tanzania na nchi nyingi za Afrika tumekwama hapo kwenye namba 1 na 2
Mkuu duniani hakuna nchi isiyo kuwa na ardhi na watu, hapa zungumzia aina ya elimu na kiwango cha teknolojia. Hata congo ina watu na ardhi

Kuhusu uongozi bora na siasa safi zungumza katiba imara, mfumo ya udhibiti dhabiti, dhamira safi na maono ya mbali.
 
Ukweli ni kwamba viongozi wetu ndio wametutia shimoni, hilo halikwepeki, nchi ipo hapa sababu ya viongozi wetu. Kuanzia yule wa kwanza mpaka huyu, kadri siku ziendavyo ndio tunazidi ingia shimoni.
 
Jibu ni rahisi tuu tumekosa vitu viwili muhimu, kwanza ni uongozi bora na kingine ni siasa safi
 
Tatizo ni aina ya marais tunaowaweka madarakani. Yaani unategemea kwa akili za jiwe aliyekuwa na PhD fake ya kemia (aliyoandikiwa na Dr. Akwilapo) na akili ndogo ya Samia (form 4 failure), unatarajia nchi itapiga hatua za kiuchumi??
 
Back
Top Bottom