Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahaha, nawe karibu Katanga, huku ni colbat na copper ,hkn uchawi ni machine na vifaa tu , 'ukuta' wkt nasikia upigaji ndio umeongezeka huko ,according Prof KikulaMkuu karibu sana mererani kwa wazee wa ukuta,hku siku hizi walinzi wa ukuta kila kukicha wanafumaniwa na wake za watu,kulinda ukuta kumewashinda
Thx bro,upigaji hakuna mana migodi inayofanya kazi haifiki 20 kwasasa wengine wamefunga kaziHahaha, nawe karibu Katanga, huku ni colbat na copper ,hkn uchawi ni machine na vifaa tu , 'ukuta' wkt nasikia upigaji ndio umeongezeka huko ,according Prof Kikula
Mie nilimuaminia kwa kifo cha Seki,maana Seki nilikua namjua ,ila jamaa alimwaga nondo za ukweli zile deep ,salute kwakeYaani huyu jamaa ni noma kwa mastoree haya...halafu fact tupu, nilimuaminia kwenye kesi ya bilionea msuya, ni nomazz
Huyo jamaa sura yake haiendani na ganzi iliyoko kwenye moyo,jamaa ana roho ngumu zaidi ya chuma cha pua.Yani wengine tunapigana ili Mama zetu waishi vizuri yeye ndio kwanza anampiga usinga bi mkubwa. Kweli ana roho ngumu
Huyu kashtuka usingizini [emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23]
umeandika nini wewe?
OK,lkn mapato yamepungua hukoThx bro,upigaji hakuna mana migodi inayofanya kazi haifiki 20 kwasasa wengine wamefunga kazi
Kumbe eeeh. Acha nikale cha kudalaliaAna njaa sana wewe tu ndio hujui
SnapchatAnachamba wapi
Kumbe mdogo wa umri mkubwa wa mamboSio kikongwe kiumri. Ni kibiashara.
Haya Anza basi na nauli na vocha mkuu. Nimeichukua tenda ila ukiwekwa kwneye chupa simoHakuna uchawi bhaana Duniani,huwa sihangaiki na vitu vya kufikirika. Bahati nzuri najua uzuri wa kuwa na hela,na ubaya wa kutokuwa nazo. Nimekulia familia duni,nikapata hela nyingi nikiwa kijana na zikakata zote kabisaa na zikarejea taratibu kwa muda wa miaka 16. Na zimerejea bila kupita kwa mganga. Yaani kwa jinsi nnavyojitambua,haiwezi kutokea ktk maisha yangu nikaenda kwa mganga akanifanye me fursa! Kwa hiyo siogopi mkuu,we fanya hiyo kazi..hata ukitaka nauli na vocha za kuanzia we niambie tu. Ila tu usinifanye fursa.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huna akili wewe ujue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake tupate somo hapa...ukiona mwenzako kakimbia ndoa wewe usikurupuke kujiingiza ukaona utafaidi, hujui kilichomtoa mwenzako!
Cc. ( jina kapuni)
Hakuna kitu km hicho..! Weka number tu nikutumie mkuu..Haya Anza basi na nauli na vocha mkuu. Nimeichukua tenda ila ukiwekwa kwneye chupa simo
Production ni kidogo sana kwasasa mana matajiri wameona kuliko kuchimba na awamu hii familia itakufa njaa,heri hela uweke bank au vhini ya mchago kuliko kuchimba kwasasaOK,lkn mapato yamepungua huko View attachment 811903View attachment 811904
NimekusomaProduction ni kidogo sana kwasasa mana matajiri wameona kuliko kuchimba na awamu hii familia itakufa njaa,heri hela uweke bank au vhini ya mchago kuliko kuchimba kwasasa
Usiwaambie wazembe hao[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ban ya kizembe siitaki...
Message sent, delivered, n read..anajijua!
Meona[emoji122] [emoji122]Usiwaambie wazembe hao
Achana na fikra za kuwa masikini..umasikini ni habari nyingine,usikie tu kwa jirani. Hata huo ushirikina chanzo chake ni umasikini..