Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Mkuu karibu sana mererani kwa wazee wa ukuta,hku siku hizi walinzi wa ukuta kila kukicha wanafumaniwa na wake za watu,kulinda ukuta kumewashinda
Hahaha, nawe karibu Katanga, huku ni colbat na copper ,hkn uchawi ni machine na vifaa tu , 'ukuta' wkt nasikia upigaji ndio umeongezeka huko ,according Prof Kikula
 
Yani wengine tunapigana ili Mama zetu waishi vizuri yeye ndio kwanza anampiga usinga bi mkubwa. Kweli ana roho ngumu
Huyo jamaa sura yake haiendani na ganzi iliyoko kwenye moyo,jamaa ana roho ngumu zaidi ya chuma cha pua.
 
Thx bro,upigaji hakuna mana migodi inayofanya kazi haifiki 20 kwasasa wengine wamefunga kazi
OK,lkn mapato yamepungua huko
IMG-20180717-WA0037.jpg
IMG-20180717-WA0038.jpg
 
Hakuna uchawi bhaana Duniani,huwa sihangaiki na vitu vya kufikirika. Bahati nzuri najua uzuri wa kuwa na hela,na ubaya wa kutokuwa nazo. Nimekulia familia duni,nikapata hela nyingi nikiwa kijana na zikakata zote kabisaa na zikarejea taratibu kwa muda wa miaka 16. Na zimerejea bila kupita kwa mganga. Yaani kwa jinsi nnavyojitambua,haiwezi kutokea ktk maisha yangu nikaenda kwa mganga akanifanye me fursa! Kwa hiyo siogopi mkuu,we fanya hiyo kazi..hata ukitaka nauli na vocha za kuanzia we niambie tu. Ila tu usinifanye fursa.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haya Anza basi na nauli na vocha mkuu. Nimeichukua tenda ila ukiwekwa kwneye chupa simo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ban ya kizembe siitaki...

Message sent, delivered, n read..anajijua!
Usiwaambie wazembe hao
 
kumbe uganga nao una formula hatua maalum kuzifuata bila kukosea.....hapo unatii kila kitu.....shetan anakutia hof umtii kwa kufuata kama kinyoz anavyotiiwa na mnyolewaji.....ni hatar hapo zimeachwa milion kazaaa
 
Back
Top Bottom