[emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh...navyopenda kuendesha gari mimi, siku mganga ananipa sharti la kuimiliki tu ila nisiendeshe ntamrudishia utajiri wake!
[emoji23] haaahaaaTena na kichambo juu
Duh duh...humu ndo kuna tamu[emoji519] vs sayari?
Swali zuriMzee baba kesi ya kina sharif imefikia wapi ?
Yani wewe sijui unaandikanga pumba gani
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Wonders shall never end [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vichekesho huwa haviishi, huyu Wolper naye amejiweka kwenye kundi la viumbe wenye hofu na Mungu? Maajabu haya walahi.
Ewaaa huo Uzi ndo naoutaka shostNilienda kwenye Uzi wa Venus aliokua anatafuta mume..nikaona gilesi amemtakia kheri
Lahaulah!! Mwisho wa picha kumbe bwana mwenyewe ndie yule wake
[emoji23][emoji23][emoji23]Ewaaa huo Uzi ndo naoutaka shost
Ajitia hajui eti[emoji23]si ana mke na watoto kabisa
Ndo eti kawa zezeta mkuu...ningekuwa arusha ningepitia kijenge nihakikishe sitaki storee za kuambiwa!Inawezekana sana ila mama yke mzazi namjua anakaa kijenge sijamuona kitambo
Detective Wit kazini [emoji23]Ndo eti kawa zezeta mkuu...ningekuwa arusha ningepitia kijenge nihakikishe sitaki storee za kuambiwa!
Cc mzigua90@shunie@raynavero
Ntahakikisha hili nalishuhudia...next month naenda Arachuga kwa kazi hiyo tu[emoji23] [emoji23]Haujamuona kwasababu wanasema amekuwa "ZEZETA" ametolewa kafara na Mwana Appolo.
Ndiyo unitafute PM sasa nikupeleke Kigamboni, maana naona matomaso wapo wengi, ukajionee jinsi watu wanavyo ishi nusu ya peponiKwa fiksi kama hizi utawapata wajinga wajinga tu....
Duh afadhali mzee baba ..utakuwa umenipunguzia machungu ya nauliNgoja niulize kwa mtu wke wa karibu
Hujui??[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122]Duuuu Mafanikio yanasiri kubwa YESU nijalie pesa za kiasi za kunisababisha niishi vizuri na kwa amani
Nisiwe na misukkule kwenye nyumba yangu[emoji18]
Hivi huyo si mwanamama unayemuita mzee baba ?Duh afadhali mzee baba ..utakuwa umenipunguzia machungu ya nauli
Arusha kdg kuna naowajua hebu nipe codes kdg ,mkuu enzi za mahakama ya kimbari nilikua na ndugu na washikaji kuleNgoja niulize kwa mtu wke wa karibu
Usiwaambie wazembe hao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dahNdo eti kawa zezeta mkuu...ningekuwa arusha ningepitia kijenge nihakikishe sitaki storee za kuambiwa!
Cc mzigua90@shunie@raynavero