witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Sura nzuri...kumbe ndani ni jackalHuyo jamaa sura yake haiendani na ganzi iliyoko kwenye moyo,jamaa ana roho ngumu zaidi ya chuma cha pua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sura nzuri...kumbe ndani ni jackalHuyo jamaa sura yake haiendani na ganzi iliyoko kwenye moyo,jamaa ana roho ngumu zaidi ya chuma cha pua.
YESU hampi mtu pesa mkuu, yeye mwenyewe alisema wazi kabisa kuwa Pesa ni mali ya Kaisari na siyo mali ya MUNGU. Hivyo kama unataka pesa utaipata kwa Kaisari, kwa YESU utapata mambo ya MUNGU. Huo ndiyo UKWELI ulivyo, wengi wanajidanganya, wanafikiri kwa YESU watapata pesa, hakuna pesa kwa YESU.Duuuu Mafanikio yanasiri kubwa YESU nijalie pesa za kiasi za kunisababisha niishi vizuri na kwa amani
Nisiwe na misukkule kwenye nyumba yangu[emoji18]
Akikutumia hiyo nauli na vocha unitag[emoji23] [emoji23] [emoji23]Haya Anza basi na nauli na vocha mkuu. Nimeichukua tenda ila ukiwekwa kwneye chupa simo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Huna akili wewe ujue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu kuishi ''nusu ya peponi'' siyo uthibitisho kuwa mafanikio yaweza kuletwa kwa uchawi. Hii inaonyesha kuwa mhusika alizipata fedha zake kwa njia ama halali au haramu-uchawi. Halafu nifafanue zaidi: Kuna watu matajiri ambao wanaamini ni kufanya vitendo vya ushirikina, wengine hata kuua. Lakini SIYO vile vitendo vinavyowaletea mafanikio na wangetajirika bila hata kuvifanya.Ndiyo unitafute PM sasa nikupeleke Kigamboni, maana naona matomaso wapo wengi, ukajionee jinsi watu wanavyo ishi nusu ya peponi
Hebu mzigua90 kuwa serious....Hakuna kitu km hicho..! Weka number tu nikutumie mkuu..
Bi mdada unataka kufukua kaburi?Mzee baba hebu nipandishie huo uzi seki ulinipita asee....
Haaahaaaa....Ila we dada jus haahaaaEti pumba na ukasoma mpaka mwisho eeeeeeh
Na signature yakudanganyia.. maana hata haunazo...
Haaahaaa....umbea ni afya mzigua90, na ukiwa mwanamke ukawa sio mbea inabidi tukukague huko chini jinsia...[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]Sana na maneno yake yaliyobolidiwa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Detective Wit kazini [emoji23]
Ugumu kokote Mkuu ,nipe tu hits ,maana last Arusha ,Mawingu wanapiga disco,Masai club iko juu ,now sijui lolote hukoHku kuko kimya sana hakuna issue tunaishi kwa ugumu
Mmmmmh....mbona, zile storee zake sio kike kike bana! Hata hivo hakuna kilichoharibika coz nikisema mzee baba haibadilishi dyudyu kuwa kHivi huyo si mwanamama unayemuita mzee baba ?
Nliwahi ishi miaka Kadha Uko skuizi Naskia mmeboreshewa barabara banks hospital lakini hakuna hata Mia watu wamechoka vibaya mno,, Wanawake wamebaki kuburuzwa na walinda ukuta kutwa kufumaniwa na waume zao bila kusahau wanafunzi wa Benjamin sec,,,Mkuu karibu sana mererani kwa wazee wa ukuta,hku siku hizi walinzi wa ukuta kila kukicha wanafumaniwa na wake za watu,kulinda ukuta kumewashinda
Awwwwwe...detective shunie aminia[emoji122] [emoji122] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndiwooo
Yaan uwanzie mwanzo au walipoanzia kubishanaAwwwwwe...detective shunie aminia[emoji122] [emoji122] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ngoja niurudie sasa
Sawa mzee babaMmmmmh....mbona, zile storee zake sio kike kike bana! Hata hivo hakuna kilichoharibika coz nikisema mzee baba haibadilishi dyudyu kuwa k
Uko vzr vibaya mnooo!!!Ndo eti kawa zezeta mkuu...ningekuwa arusha ningepitia kijenge nihakikishe sitaki storee za kuambiwa!
Cc mzigua90@shunie@raynavero
Haaahaaa....umbea ni afya mzigua90, na ukiwa mwanamke ukawa sio mbea inabidi tukukague huko jinsia...
Hata mimi asee ...huyo Yamakagashi mwenyewe huwaga nadhanigi ni Me nimeshangaa leo[emoji15] [emoji15] [emoji23]Mweeeh kumbe ni mwanamama ndio nimelijua leo