Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] JF raha sana
Huyu naye huwa hajui kuandika kama dada yake wa humu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu naye huwa hajui kuandika kama dada yake wa humu.
Hapana mkuu...Haha...pole mkuu,swali ni,je alichovyaaa?
Bora mapepe ...Hawa wanaojifanya watakatifu ndio wabaya
Mi mwenyewe mtu anaejifanya mtakatifu nampa kubwa fastaa wengi wanaafiki tuHata mwanaume....kuna mmoja tulikuwa tukikutana full bible na kunipiga neno...kumbe ni litapeli la mali za watu ila ilibidi liniingie na gia hizo ili nisishtuke!
Mtu ambae anapenda dini kila kitu mtakatifu huwa namkimbia kama ukoma!
Mkuu we huna pesa?YESU hampi mtu pesa mkuu, yeye mwenyewe alisema wazi kabisa kuwa Pesa ni mali ya Kaisari na siyo mali ya MUNGU. Hivyo kama unataka pesa utaipata kwa Kaisari, kwa YESU utapata mambo ya MUNGU. Huo ndiyo UKWELI ulivyo, wengi wanajidanganya, wanafikiri kwa YESU watapata pesa, hakuna pesa kwa YESU.
Sababu pesa siyo mali ya YESU, tena imeandikwa hivi; "na fedha ni shina la maovu yote"..... Sasa jiulize kama fedha ni shina la maovu yote, YESU atakupaje Pesa???
Wanaojifanya wapenda dini wengi wanafiki mnooo!!!Hofu na mungu kwa muuzaji uliona wapi
We naomba unipandishie kama hutajali!Bi mdada unataka kufukua kaburi?
Hata mimi asee ...huyo Yamakagashi mwenyewe huwaga nadhanigi ni Me nimeshangaa leo[emoji15] [emoji15] [emoji23]
Sanaaa...ila wachaga wanapenda sana dini but I love itWanaojifanya wapenda dini wengi wanafiki mnooo!!!
Ke?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Khaaa mbona hata mm najua Yamakagashi ni me woiiii kumbe ni ke
Haaaahaaaaa....full kuhisi tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Khaaa mbona hata mm najua Yamakagashi ni me woiiii kumbe ni ke
Dini ya wachaga iko na pombe pembeniSanaaa...ila wachaga wanapenda sana dini but I love it
Haaaahaaaaa....full kuhisi tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ke?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Haaahaaa..pombe na dini mchanaga humwambii kituDini ya wachaga iko na pombe pembeni
Cc@Asprin
Kweli?....kama ni me basi hata tweentysev ni me pia!Ni me huyo
Kweli?....kama ni me basi hata tweentysev ni me pia!
MhuYESU hampi mtu pesa mkuu, yeye mwenyewe alisema wazi kabisa kuwa Pesa ni mali ya Kaisari na siyo mali ya MUNGU. Hivyo kama unataka pesa utaipata kwa Kaisari, kwa YESU utapata mambo ya MUNGU. Huo ndiyo UKWELI ulivyo, wengi wanajidanganya, wanafikiri kwa YESU watapata pesa, hakuna pesa kwa YESU.
Sababu pesa siyo mali ya YESU, tena imeandikwa hivi; "na fedha ni shina la maovu yote"..... Sasa jiulize kama fedha ni shina la maovu yote, YESU atakupaje Pesa???
Nataka sana jibuMhu
Mimi nilifikiri 'Mbingu na nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana!'.
Kumbe shetani keshapewa urithi wa kudumu?kwa hiyo mzee baba wewe hutafuti pesa kabisa kwa vile ni ya shetani?Au unaishije hapa duniani?
Wamepotea[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ila ngoja waje wenyewe waseme
Wamepotea[emoji23] [emoji23] [emoji23]