Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Nshapoa bi mkubwaEenh pole jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nshapoa bi mkubwaEenh pole jamani
Waja leo waondoka Leo napaogopa kama ukomaBwaaaahaaaaa....Tanga kunani
Mkuu pole
[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani walikukosea sana masikini!!!nacheka sio kwa mazuri ila kwa hyo wanaume wenzakoNshapoa siku nyingi mie wanawake wa Tanga hata waweje nawaona kama wanaume wenzangu .
[emoji23] [emoji23] nakazia
Teh teh nahisi na wewe kama unavinasaba vya Tanga maana hapa nasisimuka nikisoma comments zako ,Mtanisamehe masela zangu[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani walikukosea sana masikini!!!nacheka sio kwa mazuri ila kwa hyo wanaume wenzako
Kwa hyo mzigua na shunie unawaona kama wasela yaaani[emoji3][emoji16][emoji23]
Sasa si ukamate masai mmoja hapo ujaribu si mnaendaga kusuka kwao .
Na hiyo research yako mpaka ikamilike lazima uone kingozi kinavyofanya kazi sio kwa picha
Nimeziraa
Sio muoga mimi mwenyewe nimezaliwa hapo Ocean Road ,nikakulia Kariakoo japo home ni Arusha ,hivyo mitusi naiweza sana naepusha tu shari .
Hapo sawa mkuuSio muoga mimi mwenyewe nimezaliwa hapo Ocean Road ,nikakulia Kariakoo japo home ni Arusha ,hivyo mitusi naiweza sana naepusha tu shari .
Nshapoa siku nyingi mie wanawake wa Tanga hata waweje nawaona kama wanaume wenzangu .
Khaaa[emoji15] [emoji15] [emoji382]Nshapoa siku nyingi mie wanawake wa Tanga hata waweje nawaona kama wanaume wenzangu .
[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani walikukosea sana masikini!!!nacheka sio kwa mazuri ila kwa hyo wanaume wenzako
Kwa hyo mzigua na shunie unawaona kama wasela yaaani[emoji3][emoji16][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Teh teh nahisi na wewe kama unavinasaba vya Tanga maana hapa nasisimuka nikisoma comments zako ,Mtanisamehe masela zangu
Anawaona kama salama jabir[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani walikukosea sana masikini!!!nacheka sio kwa mazuri ila kwa hyo wanaume wenzako
Kwa hyo mzigua na shunie unawaona kama wasela yaaani[emoji3][emoji16][emoji23]
Mimi mpaka nivuke bahari leo sasa ? Kwa kweli usingekuwa wa Tanga walau ningekufikiria ,sasa hivi nakuona kama msela mmoja mwenye madevuSitaki wa kusuka wachafu wale mm bwana limoyo langu linasema research yangu nitaifanyia kwako
[emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana miye sio msela wako!!miye wa ziwani hukooo!!Teh teh nahisi na wewe kama unavinasaba vya Tanga maana hapa nasisimuka nikisoma comments zako ,Mtanisamehe masela zangu
Loooh!wa tanga Mungu anawaonaAnawaona kama salama jabir
Nilivyoiona tu hii story ya Ibrah sijui kwanini nikakufikiria wewe, nikasema ikiletwa tu humu lazima utatuletea ukweli mzima.Namjua huyo mzee askofu alikua anakaa hpo jirani na mount meru hosp
Mimi mpaka nivuke bahari leo sasa ? Kwa kweli usingekuwa wa Tanga walau ningekufikiria ,sasa hivi nakuona kama msela mmoja mwenye madevu
Wachafu wale wanaosuka kwao wana moyo!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sitaki wa kusuka wachafu wale mm bwana limoyo langu linasema research yangu nitaifanyia kwako