Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Dah yaan we wa mjini mwenyewe sasa kingozi ulikipataje mana si lazima urudi porini umasaini
Mjini kwenye utoto tu ,baada ya hapo tulirudi Arusha ndio tukaenda porini ,unakatwa bila ganzi wanawake wamekaa kwa mbali ukitingisha upaja tu ni disqualified ,ukifanikiwa kukaza mpaka mwisho wakina mama wanapiga vigelegele ,uanaume wangu nimeugharamia ndio maana nimesikitika kufananishwa na mwanamke .
 
Sitaki wa kusuka wachafu wale mm bwana limoyo langu linasema research yangu nitaifanyia kwako
Tehteh tehh...kuna kitu umenikumbusha

Kuna siku nasuka sangita kwa mmasai hapo TRA mwenge...basi kamaliza kusokota za mbele, akaniambia " rafwikii geuza singo yako kwa mapaja yangu" duuh nikageuza shingo kumuinamia huko chini uvundo c uvundo chupi hajavaa ( ndo nikajuaga kumbe masai wana dyudyu mbili[emoji23] )

Ila ile harufu toka nizaliwe sijawahi isikia popote dunia hii
 
Huyu jamaa namfaham sana . Nadhani hata atakuwa kachanjwa hadi kwenye ulimi. Anapenda mambo ya kishirikina sanaa .

Shida ya wanawake ndio hiii sasa kupenda mteremko hadi unajikuta umetumbukia kwa mwanamme muovu kama huyu. Mjifunze sio kila mtu mwenye maisha mazuri ameyapata kwa njia za kawaida .wengine wanamikataba na kuzimu . Ukija kushtuka tayari na wewe umeingia huko na watoto wenu.
Bravo!! Bonge la point.
 
Mjini kwenye utoto tu ,baada ya hapo tulirudi Arusha ndio tukaenda porini ,unakatwa bila ganzi wanawake wamekaa kwa mbali ukitingisha upaja tu ni disqualified ,ukifanikiwa kukaza mpaka mwisho wakina mama wanapiga vigelegele ,uanaume wangu nimeugharamia ndio maana nimesikitika kufananishwa na mwanamke .
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] !!
Nakazia
 
[emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana miye sio msela wako!!miye wa ziwani hukooo!!

Hii mbwembwe tu za kimjini
Mhhhh ya kweli haya unaweza ukawa wa ziwani ila na wasiwasi una vinasaba vya Tanga na hivi wazee wa zamani hawajui kupima DNA kwanini nasisimuka nikisoma comments zako ? Si ndio ulikuwa unatumia ID Genverous sijui kama nimeiandika vizuri ?
 
Hahahah si yameisha jamani
Mjini kwenye utoto tu ,baada ya hapo tulirudi Arusha ndio tukaenda porini ,unakatwa bila ganzi wanawake wamekaa kwa mbali ukitingisha upaja tu ni disqualified ,ukifanikiwa kukaza mpaka mwisho wakina mama wanapiga vigelegele ,uanaume wangu nimeugharamia ndio maana nimesikitika kufananishwa na mwanamke .
 
Back
Top Bottom