Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Sawa sawa.
Ila sijapenda kabisa mlivyommilikisha shetani pesa.Bora mngemmilikisha nyoka.
 
Nakuja na post yake
Kwa kawaida ile dawa inayotoka kwenye kibuyu hupakwa baada ya kuchanja chale, huyu hajachanjwa chale halafu anapakwa dawa za kwenye kibuyu!!! Labda uganguzi wa kimamboleo, lakini hapo ni wizi mtupu, yule kuku wa kafara hajashughulikiwa, wala kuonekana jinsi alivyotumika kwenye kuagua.
Hata yale manjonjo na majigambo ya mganga hayaonekani, lo salaleeee, mtu anaibiwa kweupeeeee na kitoweo kinapatikana bila kutumika kwenye kuagua!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…