gracemwakilasa
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 538
- 1,281
Nimewamisijeee jamani??Besttt!karibuuu
Siku tuje tuorganise Kaparty nje ya Jf au mnasemaje.
So much to tell
I love you more than you think and guess.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewamisijeee jamani??Besttt!karibuuu
Yeah wanakatwa ili wapunguze ashki wawaze kulea watoto na sio kuwaza dushe ...wewe unakuta mtu jisimi hilooo hata pichu avai maake akiguswa hata na ujani anatamani umgegedeHata wadada nao si dondosha wembe?
Moja inakaa wapi!!![emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]lohKabisa rayna
Hapana sio ukabila jamani!![emoji13] [emoji13] [emoji14] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji23] [emoji23]Hayo mambo ya ukabila nyerere alikataza jamani
Sawa sawa.Mkuu Ms.Lincoln hili soma la pesa ni mali ya nani, ni refu sana mkuu, nikianza kukuhubiria hapa nitaharibu huu uzi. Lakini kwa kifupi tu ni kwamba dunia na vyote viijazavyo ni mali ya MUNGU ndiyo, lakini Ibilisi Shetani "alishajimilikisha" kila kitu.
Ushahidi kuwa shetani kajimilikisha vyote ni ile siku alipomchukua YESU na kumpandisha juu ya mlima mrefu na kumwonyesha milki za dunia na fahari yake yote kisha akamwambia kama ukinisujudia nitakupa fahari yote hii. Sasa YESU hakumbishia Shetani na kumwambia dunia ni mali ya MUNGU, bali alisema tu; "imeandikwa tumsujudie MUNGU peke yake".
Sababu YESU hakubisha kuwa dunia na fahari yake ni mali ya shetani, hii inaleta maana kuwa dunia na fahari yake ni mali ya shetani, tena YESU mwenyewe alisema itakuwa rahisi kwa Ngamia kupenya kwenye tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia kwenye Ufalme wa MUNGU. Isitoshe YESU alipoulizwa kuhusu kulipa kodi, aliwauliza je, pesa ina muhuri wa nani na picha ya nani? Wakamjibu kuwa ina picha na muhuri wa Kaisari, YESU akasema basi yaliyo ya Kaisari mlipeni Kaisari, na ya MUNGU mpeni MUNGU.
Maneno hayo ya YESU yanatosha kukuonesha kuwa Pesa ni mali ya Shetani na siyo mali ya MUNGU. Tena fahamu kwamba siku zinakuja Shetani ataichukua pesa yake yote na ataanza kuwapiga watu "muhuri" au "alama"(kwasasa hivi amezuiliwa kwa muda) na kila atakayetaka kuitumia pesa ni lazima awe na huu muhuri au hii alama, yaani "666".
Sasa ukitaka kujua kuwa pesa ni mali ya shetani, watu wa MUNGU wameambiwa kuwa wakati shetani atakapoanza kuwatia watu wake mihuri(666), wao wavumilie tu mpaka kufa, maana hakuna jinsi zaidi ya kuvumilia kama ni njaa au chochote kile, wavumilie mpaka mwisho.
Kuhusu mimi kutafuta pesa, ni kweli mimi nafanyakazi zangu na ninapata pesa ya kula na kubadilisha mboga, lakini sijisumbui kuutafuta "utajiri" na "ufahari wa dunia hii". Kuna tofauti kubwa sana ya "kula kwa jasho" na kujisumbua "kuutafuta utajiri na ufahari" wa dunia. Kumbuka hata YESU mwenyewe alikuwa "fundi Seremala" na alikuwa anapata pesa za kumudu maisha lakini hakuhangaika kuutafuta UTAJIRI. Hivyo fahamu tofauti ya kufanyakazi na kutafuta utajiri.
We luv u too honey!!!!Nimewamisijeee jamani??
Siku tuje tuorganise Kaparty nje ya Jf au mnasemaje.
So much to tell
I love you more than you think and guess.
Mnataka kutambika?Hayo mambo ya ukabila nyerere alikataza jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mnataka kutambika?
MhuuuNimewamisijeee jamani??
Siku tuje tuorganise Kaparty nje ya Jf au mnasemaje.
So much to tell
I love you more than you think and guess.
Oooh basi mtakuja kunialikaWe luv u too honey!!!!
Party sisi mbona kawaida yetu hatunaga tarehe sie kila siku sherehee!!!
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji16][emoji3]why gunaring!!!!Mhuuu
Poa poa shunie ndo mama mipango!!Oooh basi mtakuja kunialika
Aksante.
Ngoja wajeNimewamisijeee jamani??
Siku tuje tuorganise Kaparty nje ya Jf au mnasemaje.
So much to tell
I love you more than you think and guess.
Hahhahah hamna wanaponda kabila letuMnataka kutambika?
Mhuuu
Poa poa shunie ndo mama mipango!!
Kwa kawaida ile dawa inayotoka kwenye kibuyu hupakwa baada ya kuchanja chale, huyu hajachanjwa chale halafu anapakwa dawa za kwenye kibuyu!!! Labda uganguzi wa kimamboleo, lakini hapo ni wizi mtupu, yule kuku wa kafara hajashughulikiwa, wala kuonekana jinsi alivyotumika kwenye kuagua.Nakuja na post yake
AabeeWeeeeh
Aabee