Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Aisee upo deep ila ngoja kwa maelezo zaidi nimsubiri mwenye phd yake.
 
Na huo ushombe shombe wako kwenye Dp na Samira muhusika wa hii mada ana ushombe wa kiarabu hivi mnaweza mkawa distant relatives
Haha
Mkuu nimekuogopa si kwa kuunganisha huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi sina undugu nae nilikua namuona zamani mjini enzi hizo anadanga tu.
 
Mkuu nimekuogopa si kwa kuunganisha huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi sina undugu nae nilikua namuona zamani mjini enzi hizo anadanga tu.
Hahaha poa mkuu nilikuwa natania tu ,uzi huu ngoja nitoke maana naona masela zangu wametembezewa ban
 
People need deliverance
Na wewe unaonaje?
Pesa ni za Shetani ila tuzitafute kidogo tu,kwa ajili ya kujikimu na wala si kwa ajili ya kutajirika?
Hakika vizazi vyetu vitapata tabu sana kwa umaskini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…