Aisee upo deep ila ngoja kwa maelezo zaidi nimsubiri mwenye phd yake.Kwa kawaida ile dawa inayotoka kwenye kibuyu hupakwa baada ya kuchanja chale, huyu hajachanjwa chale halafu anapakwa dawa za kwenye kibuyu!!! Labda uganguzi wa kimamboleo, lakini hapo ni wizi mtupu, yule kuku wa kafara hajashughulikiwa, wala kuonekana jinsi alivyotumika kwenye kuagua.
Hata yale manjonjo na majigambo ya mganga hayaonekani, lo salaleeee, mtu anaibiwa kweupeeeee na kitoweo kinapatikana bila kutumika kwenye kuagua!!
Napenda habari za hear saying kweli mpaka nimekuja mbio nimeacha kusoma bibilia, ila damu ya yesu itawakomboa wakitubu Mungu atawasameheBaba paroko heshima yako
People need deliveranceSawa sawa.
Ila sijapenda kabisa mlivyommilikisha shetani pesa.Bora mngemmilikisha nyoka.
Mkuu nimekuogopa si kwa kuunganisha huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na huo ushombe shombe wako kwenye Dp na Samira muhusika wa hii mada ana ushombe wa kiarabu hivi mnaweza mkawa distant relatives
Haha
Dooh naona mshakula Ban[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tumkaribishe mwenzetu mi namependa ubandidu wake
Hahaha poa mkuu nilikuwa natania tu ,uzi huu ngoja nitoke maana naona masela zangu wametembezewa banMkuu nimekuogopa si kwa kuunganisha huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sina undugu nae nilikua namuona zamani mjini enzi hizo anadanga tu.
Na wewe unaonaje?People need deliverance
Sijaelewa!wamepigwa ban kisa nini?Dooh naona mshakula Ban
Hata sijajua au sababu ya gire? Mwee wasije nipa ban na mimiSijaelewa!wamepigwa ban kisa nini?
Najua ulikua unanitania usijali, yaan ni kuuacha usije ukawafuata na wewe[emoji23][emoji23]Hahaha poa mkuu nilikuwa natania tu ,uzi huu ngoja nitoke maana naona masela zangu wametembezewa ban
Hahahaha so long SimaraNajua ulikua unanitania usijali, yaan ni kuuacha usije ukawafuata na wewe[emoji23][emoji23]
ILA WITI JAMANI ANANIFURAHISHAMNOOHaaaahaaa...umefurahi au unalia?
Besides karibu sana kwenye mjadala wa kamugambire
HHAAA[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tumkaribishe mwenzetu mi namependa ubandidu wake
MNANIFURAHISHA NYIE WATU WAWILIINimefurahi.Coz nilikumiss sana
Duh hatari saana, faida ya nini kumiliki Pesa ya kafala
Ukija tutafutane,nipo MINJINGU Huku.Ntahakikisha hili nalishuhudia...next month naenda Arachuga kwa kazi hiyo tu
Mawingu iliuzwa na inajengwa ghorofa na sudaUgumu kokote Mkuu ,nipe tu hits ,maana last Arusha ,Mawingu wanapiga disco,Masai club iko juu ,now sijui lolote huko
Nani kapigwa ban na ninishidaDooh naona mshakula Ban