Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Aiseee
Enhee alikuwa mtoto wa waziri enzi zile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enhee alikuwa mtoto wa waziri enzi zile
Sky Eclat,kwanini usimwage madini hayo?Yule tuliambiwa alipata allergy ya dawa za malaria
Nikwel na nilikua kama guest kwa miaka kadhaa kabla sijaamua kujisajili. Pengine usishangae sana game ya germstone inanihusu sana kwaiyo usistuke na 2011Halafu umejiunga Jf 2011 ,tumia kichwa kufikiri sio kubebea nywele
Mganga kapapasa ziwa demu kapigwa shoti.. Ila mganga ni mzembe wa hali ya ju alistahili mateke..Mganga alipaswa kumwambia huyu dada alale hapo kwake siku kadhaa amfanyie dawa usiku kucha
mkuu mwaga upupu tujikune masikio[emoji23]Nakumbuka Dada Wa Taifa ashawahi kugusia chanzo cha Yule Binti Kufariki,Aliweka Chini ya Carpet,alisema binti alijiua na sio malaria kama ilivyotangazwa,chanzo cha kujiua kuna mambo alikuwa anafanyiwa ambayo DADA WA TAIFA HAJAWEKA WAZI au kama aliweka Nishasahau maana kitambo.
Dunia simama nishuke!Nakumbuka Dada Wa Taifa ashawahi kugusia chanzo cha Yule Binti Kufariki,Aliweka Chini ya Carpet,alisema binti alijiua na sio malaria kama ilivyotangazwa,chanzo cha kujiua kuna mambo alikuwa anafanyiwa ambayo DADA WA TAIFA HAJAWEKA WAZI au kama aliweka Nishasahau maana kitambo.
hekehekaYule wa kimara aliyefariki nasikia alijiua sababa ya aibu
Shunie nakuja huko pm nipate habar kidogo!Yule wa kimara aliyefariki nasikia alijiua sababa ya aibu
PM iko locked, ikiwa on unistue[emoji23]Shunie nakuja huko pm nipate habar kidogo!
[emoji23] [emoji23] huyu hadi umchimbe kweli ndo afunguke, lakini ivi ivi subutuuuuSky Eclat,kwanini usimwage madini hayo?
hekeheka
Shunie nakuja huko pm nipate habar kidogo!
ukiona shunie kapotea hapa, tambua kaamia whatsup anawasapuka na mwinzie mzigua90, [emoji23] [emoji23] [emoji23]
AhahaasUnaambiwa Samiratha ni bingwaa kabisa wa waganga. Hapo kusema mumewe labda walikua wanafanya wote. Halafu yeye sio mtoto kusema alikua anafanya bila ufahamu
PM iko locked, ikiwa on unistue[emoji23]
akikujibu naweka laki hapa [emoji23]Shunie nakuja huko pm nipate habar kidogo!
Hivi mganga anaruhusu kurekodiwa akifanya vituko vyake?