Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi mganga anaruhusu kurekodiwa akifanya vituko vyake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi mganga anaruhusu kurekodiwa akifanya vituko vyake?
Ni wakatí sasa wa kujiita white sniper
A TOWN Wa Kumwaga Hawa, Kawaida MnooAisee kuna warembo bongo hii,ila ndo hivo wanamilikiwa na watu ambao wengine pesa zao za ndumba kama huyu..
Funguka ilikuwaje?Rafki angu Paul aliendaga kwenye hzi issue, the so called ndagu...
Alichokipata Hata sahau
Acha tu sista! Masistaduuu wa town usiwaone tu wanashine ndani ya harrier kumbe nyuma ya Pazia ni vigagula balaa. Akikupiga usinga mmoja tu hupindui.Hii mambo kumbe ipo?... Huwa nadhani uwongo tu
Wadada wachache sana,hawaendi kwa waganga,hata tulio nao humu baadhi wanga
Hahaha eti ni 'vigagula'Acha tu sista! Masistaduuu wa town usiwaone tu wanashine ndani ya harrier kumbe nyuma ya Pazia ni vigagula balaa. Akikupiga usinga mmoja tu hupindui.
Hahaha ,Rafiki we huwezi bana ,acha kunichekeshamimi mda huu niko kwa mganga nakuroga wewe
Shida ya kupenda kuelekea bondeni tu kama wasomalia,waesiopia na waeritrea..! Sometime kuelekea mlimani ni SALAMA ZAIDI.Alichomfanyia mkewe sio vizuri kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23]Waganga wanafaidi sana
Tuwaulize walionaswa walikubali wakiwa na akili zao au walishtuka washaliwa.Nyani Ngabu nasikia mshirikina ndio maana anawanasa vibinti wa humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtõto lainiiii niņgekuwa mganga huyu samiratha angelala kìringeni siku hiyo
HahahahahaaAcha tu sista! Masistaduuu wa town usiwaone tu wanashine ndani ya harrier kumbe nyuma ya Pazia ni vigagula balaa. Akikupiga usinga mmoja tu hupindui.
Matumizi mabaya ya neno bilioneaHivi Hilo neno billionaire mnalikosea heshima