Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani huyo???Kuna aliyembikiri mtoto wake ili nyota yake ing’ae na iling’aa kweli Afrika nzima lakini sasa inaanza kufifia. Ninadhani alikiuka masharti ya mganga amefanya vurugu nyingi mpaka kupora wake za watu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] coco babe ni kivuruge yaani ushabadilisha mada kabisa mm ndio mana nakupenda
Rubbish!
anaweza...Hayo mambo yapo sana, huku mtaani kwetu kuna jamaa kamfanya mdogo wake zuzu, yeye anakula tu bata bila aibu.hivi Makonda hawezi Dili na hawa watu?
Dear hii dunia ngumu sana sometimes naona bora kula matembele ya halal kuliko nyama za haram znatesa mno, huko Arusha kuna jamaa aliwah kubikiri mwanae wa kumzaa na kumpa ujauzto ila akamforce yule mtt wa kike atafute bwana alale nae na kumsingizia mimba n ya huyo chalii, huez amin baada ya miez tsa bint kujifungua mtt copyright na chalii ila baba wa bint almchukua mjukuu na kumlea tena kwa mapenz na gharama nying, mshart ya mganga ilikuwa kla mwez yule ilkuwa n lazma kulala na baba ake na mama ake hakuwah kugundua.Kuna aliyembikiri mtoto wake ili nyota yake ing’ae na iling’aa kweli Afrika nzima lakini sasa inaanza kufifia. Ninadhani alikiuka masharti ya mganga amefanya vurugu nyingi mpaka kupora wake za watu.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifaDear hii dunia ngumu sana sometimes naona bora kula matembele ya halal kuliko nyama za haram znatesa mno, huko Arusha kuna jamaa aliwah kubikiri mwanae wa kumzaa na kumpa ujauzto ila akamforce yule mtt wa kike atafute bwana alale nae na kumsingizia mimba n ya huyo chalii, huez amin baada ya miez tsa bint kujifungua mtt copyright na chalii ila baba wa bint almchukua mjukuu na kumlea tena kwa mapenz na gharama nying, mshart ya mganga ilikuwa kla mwez yule ilkuwa n lazma kulala na baba ake na mama ake hakuwah kugundua.
Sasa mwsho wa siku yule bwana akamwambia bint yake kuwa mganga kabadlsha mashart anatakiwa amwingilie kinyume na maumbile hapo ndo alposhndwa akaandika waraka kanisan kuomba msaada maana alshanusurika kujiua hapend maisha hayo na hakubaliw kuwa na bwana mwingine pia hatakiw kuzaa mtt mwingine.
Kweli shetan hakup utajir wa bure bure.
Kabisa mkuuWatu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
[emoji1] [emoji1]Ok nimeamini
Hii imekuwa kama fasion ya Bongo. Zamani ugomvi ulikuwa unaanzia nyumbani unahamia kwa majirani lakini siku hizi kipengele cha majirani kimeondolewa. Ni kwenye mtandao (duniani). Ni wengi nimeona wanafanya hili. Video mpaka za mapenzi ya kinyume cha maumbile zimevujishwa pale waliopendana walipokosana.Daah naona wameamua kuaibishana mtandaoni!..inaskitisha sana
Hayo mambo yapo sana, huku mtaani kwetu kuna jamaa kamfanya mdogo wake zuzu, yeye anakula tu bata bila aibu.hivi Makonda hawezi Dili na hawa watu?
RubbishUmedoda siku hizi humu
Unatafuta kiki kupitia Cocochanel
Hata kufikiria nje ya boksi hujawahi wezs.. ila umesoma mwanzo mwisho.. ulifikiri nitaandika hayo ya waganga urudi tena kuwanga.. ukifikiro utasoma pale pa wanatoa huduma bure... eeeeh
U too low low loooooooow
Embu pita hukoooo.. ukitaka lia lia kwa kumalizwa.. eeeeeh
Serikali haiamini uchawi so kila mtu apambane na mzingo wake... ChiefHayo mambo yapo sana, huku mtaani kwetu kuna jamaa kamfanya mdogo wake zuzu, yeye anakula tu bata bila aibu.hivi Makonda hawezi Dili na hawa watu?
Nbakadabra unamaanisha nn mkuu? NielewesheHalafu hizo mambo za waganga wa kienyeji ni nbakadabra....hakuna kitu
Nikiandika mkuu nitajulikana mimi ni nani humu jf ,kama Samira au Sh....na wanapita huku ,sitaki kuchambwa na matarumbeta mtu mzima na uwalaza wangu
Tupe hiyo tujifunze mkuu...Rafki angu Paul aliendaga kwenye hzi issue, the so called ndagu...
Alichokipata Hata sahau
Huyu bibie nae mganga wake wa TangaHawa wadada wa mjini ni wachawi hakuna mfano wakeee!!kuna bibi mmoja alikua mbagala kule nilikua nawaona mastaa km wote hivi enzi hizo...!!
Kuna mzee yuko tanga ndo walikohamia huoo sasa hivi!
Ukiwaona wanafanya dua si udambwidambwi basi jua wanatimiza makafara yao!!
Kibongo bongo hapa ushirikina ndo habari ya mjini
Hv mnataka kusema na wazungu wana waganga wao? Wakina Barick na wengine kote duniani wanachimba kwa nguvu za kiganga?Mambo ya kawaida sana ila kama wewe ujawahi kuchimba madini utaona ajabu ila ni kawaida sana