Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]kaaah!Huyu muuza mzutii kachoka kuanzia kiafya mpka kifedha,napishana nae mushono sijui kahamia huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]kaaah!Huyu muuza mzutii kachoka kuanzia kiafya mpka kifedha,napishana nae mushono sijui kahamia huku
Then! Thibitisha uongo wangu kwa bayana jadidi zilizosheheni ukweli..[/quote]Mzee upo wrong
Fungua akili yako...Mungu anakupa nguvu za kufanya kazi, akili ya kuwaza, ili ujue ni jinsi gani utayakabili maisha....Mungu ana uwezo wa kumpa mtu utajiri
Kivipi...??? Nipe ufafanuzi hapaNa shetani pia ana uwezo wa kumpa mtu utajiri
Mdada muuzajiHuyo ruth kawala ndo nani?
jiwe mwenyewe ana hirizi kiunoni according to Bishop Kakobe yeye ni nani asiwange Huyo chaliiTunasafari ndefu ya ukombozi wa kiakili na kifikra
Oooh Ok....nimekupata, ni unaloga afuu huna hata miradi!Kua na nyumba ya kuishi na gari 2 kwa kuloga kwa speed ya 4G ni ukichaa,kwa ushirikina wke wote angemiliki mali za kutosha,magari wanaapolo wanamiliki kwa wingi tena ya thamani kubwa,
Yeye anaroga bdo tu anatumia vx ya mwaka 96
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afuu utasikia" eeh chibu ana roho nzuuri[emoji15] [emoji15]
Ana status gani huyo mkuu hapa town?Hahaa kama alishindwa kutoka kipindi kile U.N ni U.N kimaukweli, Range kuhongwa ni chaapu, U.S watu tunaenda kama tunashuka hapo Dar basi atulize mbunye tuu hakuna namna.
Najua atapita humu.
Utanilipa ya udalali? Si unajua hana njaa ndogo ndogo kumconvice sio jambo dogo eehMkuu mzigua90 nipe number ya Samira,yule dada ni mzuri sana aisee..! Mkuu npo serious kwa gharama yoyote,km huamini njoo pm,nikuambie..!!
Yaani huyu jamaa ni noma kwa mastoree haya...halafu fact tupu, nilimuaminia kwenye kesi ya bilionea msuya, ni nomazzKatika story za wana Apolo mkuu nakuaminia
Alikua anapenda hapa anataka kumtwisha Ibra mzigoWhat?!!kumbe ndo zakee...ila huyo samira nae alikua anapenda hizo mambo!!!
Maana mpk walikua wanaenda wote hao!loohh!
Nyumba ya kawaida kma 50m plus vx ya 96 model na rav4 vyote akiuza anapata kma 80m sasa ushirikina kwake umempa nini,mererani walikua wanaloga zamani na migodi yote ya washirikina ilishakufa.imebaki migodi ya kisasa ya waliowekeza miundombinu kwa gharama kubwaOooh Ok....nimekupata, ni unaloga afuu huna hata miradi!
Basi mxiueee zake!
Sure...kichambo cha bure bure bila sababu
Nenda michambo update ana stori kamili mkuuNa umbea wangu nimeenda kwa nakaaya nmekutana na mipicha ya vyakula..
@Shunie huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu tajeni basi hayo majina...ubuyu uwe mtamu khaa!
Sasa Sh......ndo nini?
Hahahah yupo MoshonoHuyu muuza mzutii kachoka kuanzia kiafya mpka kifedha,napishana nae mushono sijui kahamia huku
Best ulishawahi ona maiti inapakizwa nyuma kwenye siti ya abiria na kufungwa mkanda kma abiria wa dreamlinerAlikua anapenda hapa anataka kumtwisha Ibra mzigo
Ndo maana nimesema kwa gharama yeyote..! Serious ntakulipa mkuu..!Utanilipa ya udalali? Si unajua hana njaa ndogo ndogo kumconvice sio jambo dogo eeh
Ndo kazi yake hiyo ushaambiwaAna status gani huyo mkuu hapa town?
Au kuuza arage tu mjini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poyeeeNa umbea wangu nimeenda kwa nakaaya nmekutana na mipicha ya vyakula..