Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mm nilikuwa nabisha wewe ni me uko pm unataka kunionyesha nn tena ebu tuma pm ya mzigua ipo wazi nitaonyeshwa kama kilivyo
Teh teh siwezi enda Pm ya Mzigua mimi naweza nisitoke huko mambo ya Tanga utaniponza bure na mimi kesho muone video yangu nasindikwa
 
Bado sijakuelewa ulipo sema nimewapiga fiksi, sasa nakuambia nitafute nikupeleke ukamwone huyo ndondocha bado unazunguka na story zako ndefu... Nakufungia ndani usiku nazima taa mim naondoka halafu uje uniambie ulicho kiskia humu ndani
Haya nilikuwa natishiwa zamani nikiwa mdogo. Siyo kwa upeo huu nilionao sasa.
 
Ha ha
Afu uzi ukiwa unasasambuliwa mtu huwa unatamani kuvunja team na safu nzima ya modes.

Afu ajabu uzi wowote ukimtaja utafungwa.Usije na huu ukafungwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom