Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Zaidi ya aibu
Hahahahahaa. Mambo ya aibu yatakua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaa. Mambo ya aibu yatakua
Aaaagh!....asilete sifa hapa, kwahiyo alikuwa anajioshea ama?Kaniambia anazingua [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Teh teh siwezi enda Pm ya Mzigua mimi naweza nisitoke huko mambo ya Tanga utaniponza bure na mimi kesho muone video yangu nasindikwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mm nilikuwa nabisha wewe ni me uko pm unataka kunionyesha nn tena ebu tuma pm ya mzigua ipo wazi nitaonyeshwa kama kilivyo
Haya nilikuwa natishiwa zamani nikiwa mdogo. Siyo kwa upeo huu nilionao sasa.Bado sijakuelewa ulipo sema nimewapiga fiksi, sasa nakuambia nitafute nikupeleke ukamwone huyo ndondocha bado unazunguka na story zako ndefu... Nakufungia ndani usiku nazima taa mim naondoka halafu uje uniambie ulicho kiskia humu ndani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ...sorry mzee babaMama nitake radhi mie Mwanaume halafu sio mwanaume tu bali wa Arachuga
Etiii. Nimemwambia nipe changu nianze kazi anazunguka [emoji23][emoji23][emoji23]Aaaagh!....asilete sifa hapa, kwahiyo alikuwa anajioshea ama?
Asee[emoji15]
Haaahaaa sawa mkuuNiwe mkweli sikumbuki heading ila ,ilikua siku ya kifo chake ,ngoja nitulie maana niko sehemu kichwa inavurugwa na gambe
Na kwangu ndio ungenasa kabisa tanga line kwahiyo ulitaka kunitumia video ina nn hiyoTeh teh siwezi enda Pm ya Mzigua mimi naweza nisitoke huko mambo ya Tanga utaniponza bure na mimi kesho muone video yangu nasindikwa
Hahahahahaa. Ntaenda kukutia kwenye chupa usije mwayaTeh teh siwezi enda Pm ya Mzigua mimi naweza nisitoke huko mambo ya Tanga utaniponza bure na mimi kesho muone video yangu nasindikwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122]Ebana eeeh ndio shida sasa ya mwanaume kuwa kwenye mada kama hizi mmeamua kuniweka upande wenu
Hebu Fungua Pm nikuonyeshe
Ha haNakazia...mi nilishangaa kuna siku kalalamika mara hao fasta wameshamjibu kiunyenyekevu....lalamika wewe kama utajibiwa!
Dah hii Tanga pia wewe nikuache kwa mbalizi1 ndio mnawezanaNa kwangu ndio ungenasa kabisa tanga line kwahiyo ulitaka kunitumia video ina nn hiyo
Ha ha
Afu uzi ukiwa unasasambuliwa mtu huwa unatamani kuvunja team na safu nzima ya modes.
Afu ajabu uzi wowote ukimtaja utafungwa.Usije na huu ukafungwa.
This is too much bana...mbona sasa tunafatana fatana!Haiwezekani. Nabisha. Mods wamemfungia tu asiendelee kuumia. Mara paap Id zimekua merged [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha
Afu uzi ukiwa unasasambuliwa mtu huwa unatamani kuvunja team na safu nzima ya modes.
Afu ajabu uzi wowote ukimtaja utafungwa.Usije na huu ukafungwa.
Maandamano yetu yatasambaratishwa na boro la shemela maana yeye mwenyewe alisema ni mtu hatariUkifungwa huu tutaandamana
Asee...kwahiyo sisi ndo tatizo?Kweli wamefunga na mpaka mchana ilikuwa inachangiwa
Yaaaan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Anatuchora tu
[emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]Mkuu we huna pesa?