Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
nahisi ni kuanzia page ya tisa kama sijakoseaNataka kwenye mabishano tuu...Uzi mrefu ule daah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nahisi ni kuanzia page ya tisa kama sijakoseaNataka kwenye mabishano tuu...Uzi mrefu ule daah!
@Daby yupo humu ni Masai pia muombe akusaidie ili hiyo research yako iwe imekamilika
Nimegundua mods wanatupenda mnoo,tuwapo siye basi wao wako nyuma yetu hata hapa wapo pia...Na hawajaja kunijibu kabisa kufuta walifuta kumbe walikuwa wanafatilia thread
Mm leo ndio mana nimemuulizaTena napataga shida haswaa...sema kwa kua siko nao vile karibu ndo najua mmoja
Mwenzangu achaaa...tu!wacha nicheke!!!ila ilikua ya 24hrs baasi ikaisha!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umemtukana lipumba woiiii
Pesa ya kubadilisha mboga ninayo mkuu lakini sijapewa na YESU. Nikisema YESU kanipa pesa nitakuwa mwongo, lakini nikisema YESU atanipa uzima wa milele hapo nitakuwa nasema KWELI.Mkuu we huna pesa?
Ukisikia Tanga roho inakuruka?[emoji23] [emoji23] Walikufanyaga nini mkuu?Mimi watoto wa Tanga siwawezi ,sikujua na Shunie ni mtoto wa Kidigo ,hivyo Pm yake siendi ,ngoja nitest zali la Witness
AfadhaliMm leo ndio mana nimemuuliza
Haya mama itabidi nikubali tu kishingo upandeSisi ndo mama zenu bila sisi hakuna Yamakagashi...so inabidi upende tu hata kiunafiki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] looh!Ukisikia Tanga roho inakuruka?[emoji23] [emoji23] Walikufanyaga nini mkuu?
Mi PM yangu ina oxford keys
Umefungwa shogaa....g mod wallahnahisi ni kuanzia page ya tisa kama sijakosea
Kwahiyo pm zangu hunijibu msitutenge jamani na sisi tunataka kuona kingozi [emoji22]Mimi watoto wa Tanga siwawezi ,sikujua na Shunie ni mtoto wa Kidigo ,hivyo Pm yake siendi ,ngoja nitest zali la Witness
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaniKweli haibadiliki ila inauma sana
Subirini ban ya Gire
Hahahaha kwani yule mjita au Mkurya wako hana ? Yule mwenye jina la dawa sitaki kuporomoshewa mitusi ndio maana sijamtaja .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sitaki nakutaka ww yaan wewe mwenyewe mpaka ngozi ya kondoo mbichi
Looh![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwahiyo pm zangu hunijibu msitutenge jamani na sisi tunataka kuona kingozi [emoji22]
Sawasawa mkuu....hapo umenenaPesa ya kubadilisha mboga ninayo mkuu lakini sijapewa na YESU. Nikisema YESU kanipa pesa nitakuwa mwongo, lakini nikisema YESU atanipa uzima wa milele hapo nitakuwa nasema KWELI.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mods nyie Mungu anawaona msitufanyie hiviNimegundua mods wanatupenda mnoo,tuwape siye basi wao wako nyuma yetu hata hapa wapo pia...
Kama unabisha watukane uone!!?[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]kama sijakukuta whassaap !!!
Hata kama umefungwa unaweza somaUmefungwa shogaa....g mod wallah
Chumbageni,Majani mapana kuna mwanamke kidogo anifanye zezeta kama sio mama yangu kwenda kulia na kusali kwenye madhabahu ya safina saa hii ningekuwa kama mdoliUkisikia Tanga roho inakuruka?[emoji23] [emoji23] Walikufanyaga nini mkuu?
Mi PM yangu ina oxford keys