Nina ushahidi kamili....kuna siku ntaelezea kuhusu wahindi na uchawi wao...msipime!
jamani wahindi ile ndio dini yao na inatambulika na serikali..full matambiko...ukiita uchawi unawaonea...na wao watasema dini zingine uchawi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina ushahidi kamili....kuna siku ntaelezea kuhusu wahindi na uchawi wao...msipime!
Unaogopa nini PM, au unataka tupigwe ban kama wakina naniiiUbuyu wa PM. Aku! Tuambiane hapa
Nimeipenda hii Nywila mkuu, iko deep sana wanaHip Hop wanaita double entendre kama sikoseiShida ya kupenda kuelekea bondeni tu kama wasomalia,waesiopia na waeritrea..! Sometime kuelekea mlimani ni SALAMA ZAIDI.
Wahindi,wachina wanatambika sana tu ,wala sidhani km ni wachawijamani wahindi ile ndio dini yao na inatambulika na serikali..full matambiko...ukiita uchawi unawaonea...na wao watasema dini zingine uchawi..
Nimeiangalia video zaidi ya mara 20.
-Ukimuangalia Bidada unamuona kabisa hayupo happy kwa kitendo anachofanyiwa na mganga even thou akiaminishwa watapa utajiri kwa kupata jiwe la tanzanite kwenye chimbo la mumewe.
-Mdada inaonekana anamuheshimu sana mumewe mpaka kukubali kwenda kufanyiwa hayo madudu na mganga na ndio maana mganga alivyopeleka mikono kwenye "Maziwa" akamtazama mmewe kama kumuona alivyoshikwa na mganga hii inaonyesha anamuheshimu sana mmewe.
-Ila Matajiri wengi sana wana michezo hiyo sana,kwenye kila maghorofa tunayoyaona wanaoishi hao matajiri ukisearch ndani 6 kati ya 10 unaweza ukakuta "Mazezeta" ndani.
Inaonekana ni huyo jamaa ndio karekodi.... Ni sawa na tu na wapenzi yule wakiume arekodi wakiwa faragha halafu mpenzi wa kike achukulie poa tu kisa ni mpenzi wake halafu mwisho wa siku vidio ije kuleakMimi sijaelewa kwa nini walipiga hiyo clip? Ni nani alipipa hiyo clip?
Uwalaza ni mbwembwe tu za uandishi sina uwalaza mieHapo kwenye uwalaza si washakujua tayari au vipi mkuu
Aliyochukua hiyo record inaonekana ni Mme wake according to maelezo ya Mke("waambie kwamba ni wewe ndio ulionipeleka kwa huyo mganga ili mgodi utoe madini").Mimi sijaelewa kwa nini walipiga hiyo clip? Ni nani alipipa hiyo clip?
Wakati unawaona enzi hizo na sasa unajua kwamba wamehamia Tanga, wewe huwa unafanya nini kipindi hicho?Hawa wadada wa mjini ni wachawi hakuna mfano wakeee!!kuna bibi mmoja alikua mbagala kule nilikua nawaona mastaa km wote hivi enzi hizo...!!
Kuna mzee yuko tanga ndo walikohamia huoo sasa hivi!
Ukiwaona wanafanya dua si udambwidambwi basi jua wanatimiza makafara yao!!
Kibongo bongo hapa ushirikina ndo habari ya mjini
Duh hatareeeUle uzi wa Gire ndo umesepa nao [emoji23][emoji23][emoji23]
Tunaanzaje sasa kukataa kwa mfano [emoji23][emoji23]
Ohooo kumbe ana tako hebu ngoja nikam followKumbe ni Ruth Kawala ,lile toto na tako lake bado hajakua tu ? Ugomvi wake na Samira ni nini ? Hii mitoto ya mjini inasagana sana usikute ni wivu ndio ukaleta haya yote .
Hii ni balaa na ipo kwenye mambo mengi sana, hivyo tusipende sana kujua SIRI ZA WATU, inaweza kukugharimu maisha yako.Nilipewa stori ya bilionea mmoja, eti yeye alikuwa akiachana na demu/wife basi hachukui round anarestishwa in peace, maana atavujisha ya ndani.
Mkuu we huna pesa?
Wanawake ni wateja wakubwa wa huduma za kiroho kuliko wanaume. Tembelea makanisani na kwa waganga wa kienyeji ukathibitishe hili.What if mwanaume ndo kweli kambadilisha na yeye akawa hivo..kumbuka nguvu ya ushawishi ya mwanaume!!
MmmhWatu wanaovaa kanzu na vibarakashia wanapenda sana mambo ya USHIRIKINA, 99.99% na hilo halina ubishi. Quaran yenyewe ukisoma hadithi zake zimekaa kishirikina kishirikina zaidi. Waganga wengi wa kienyeji ni Waislamu au Wapagani, huwezi kumkuta Mganga wa Kienyeji Mkristo, hakuna hata mmoja.
Sisemi wamiliki wa migodi Wakristo hawafanyi ushirikina bali nachokisema hapa ni kwamba matajiri wengi ambao ni Waislamu ni washirikina mbaya.