Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora


Viva magufuli viva
 
Last edited by a moderator:

Ataisoma yeye ajiandae tu hamna namna
 
Msigwa alipewa kikombe cha uji ili asipanue tena mdomo, kaisha
 
kweli ccm ni wasanii, kundi lote la bongo movie linapiga push up kumuingiza magufuli ikulu! kipaumbele lazima kiendelee kuwa elimu, elimu, elimu.
 
Viva magufuli viva

Naona mnaiga kila kitu toka zile NEMBO ZA CHADEMA na kauli mbiu yao,sasa mmekuja hata kwa wimbo wa msanii.Kweli mmekosa ubunifu.

Ila mwambie Nape UHAI na UZIMA ni Mungu anatoa.
 
Hatoshi yule mgonjwa

Waulize akina Celina KOmbani na Katibu wenu wa Wilaya ya Ilala kwa jina la Charles yuko wapi leo.

UTU na UBINADAMU upo palepale,UZIMA na UHAI atoaye ni MUUMBA wetu.Tusidhihaki kazi ya Mungu,Mungu hadhihakiwi.

Adhaniaye amesimama aangalie asianguke.
 
Sikio la kufa halisikii dawa. Nape atapata kiboko kikali kabla ya uchaguzi ujao, na asomae na afahamu
 

Iringa tumeshaamua kuifuta UKAWA bye byee Msigwa
 
Huwa nawaza hvi Nape huwa anawaza kutumia nn aiseee,kuna wakat unataman hata umtukane ila basi tu,Mungu anawaona wote wanaobeza afya ya Lowasa,ila cc tunampenda tu
 
Nepi ni mpuuzi sana, hata ameshindwa kujua kuwa kuna maisha baada ya uchaguzi! Sijui kama ameshaandaa pa kujificha
Sawa Nepi huyo tumeishamfahamu na hatuna haja ya kumjadili. Kinachonipa tabu na kunisikitisha ni wananchi wanaokuwa wanawasikiliza watu kama hawa wakiporomosha mitusi na bado wanaendelea kuwashangilia!!! Je, ndipo hapo jamii ya kitanganyika ilipofikia? Je, ndio hayo jamii ya kitanganyika inataka kusikia? Je, tunawafundisha nini watoto ambao tunawavutia kwenye fiesta zetu hizi za kampeni kwa kuandamana na akina Diamond na Ali Kiba? Je, na akina Ali Kiba tundelee kuwaunga mkono kwa kuwa sehemu ya kuporomosha mitusi majukwaani?
Je, tutaelezaje hali kama hii ya kuwaita watu wazima 'maiti', wakati huo huo tuna msiba wa kitaifa kwa kuondokewa na waziri ambaye naye tunasikia wakati wa uhai wake alitumia mdomo wake vibaya, lakini sisi tunasema RIP? Ninajiuliza maswali mengi bila majibu! Ninaidieni hii jamii ya kitanganyika tena jamii maskini sana kati ya jamii maskini duniani inaelekea wapi?
 
[h=2][/h] Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akijinadi kwa Wananchi wakati wa mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Samora, mjini Iringa.  Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za CCM, William Lukuvi akitangaza wasifu wa mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk Magufuli wakati wa…
 
Ndugu zangu, mambo ni mengi ambayo magufuli anataka kuyafanya.. anataka kuleta maendeleo ya kweli na Tanzania mpya ambayo itawafanya wananchi wote wafurahie Serikali yao kuliko sasa.

CCM OYEEE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…