juzi nape akiwa kwenye mkutano izinga alinukuliwa akiwaambia watanzania wasimchague marehemu kwenda ikulu. Hii itasababisha watanzania kupiga Kura ya Hasira ya kuikaa CCM. Nani ajuaye kesho ya m wenzake? ina maana wanaompenda lowasa basi ni matiti Kama yeye lowasa ni marehemu!