Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

Kamuite na majuto ili awafanyie utafiti maana mile kikampuni chenu kilichotoa utafiti hewa na kubainika kiongozi wake ni cdm hajawasaidia


Hahahahaha naona mmeanza kuishiwa Sera; Mara push_up, mara lowassa mgonjwa, mara fisadi, Mara mwizi, Mara anajinyea.
Tafuteni kila aina ya tusi maana ndo Sera iliyobakia lakini tunasema Mh. EDO ndo rais wa awamu ya tano.
Huku mtaani hakuna mwenye hamu na FISIEMU. Kula FISIEMU, KURA KWA LOWASSA.
piiiiiiiiiipoooooooooooooooooozzzzzz
 
Huo ujinga waambie UKIWA wenzako, sisi hatujamsamehe, Ikulu tunataka mtu msafi na muadilifu kwelikweli, hatutaki mgombea mwenye madoa doa na makandokando ya wizi na ufisadi. #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI.

Tunaiondoa CCM kwa sababu imeshindwa kusimamia vyema majukumu yake, hivyo kusababisha huo wizi na ufisadi unaousema! Jiandaeni kufungasha virago, MABADILIKO HAYAEPUKIKI.
 
Ni makosa makubwa na kukosa adabu kwa kijana mdogo kama Nape kumtukana Mhe. lowassa. Umri wa Nape na Lowassa kuna tofauti kubwa na inawezekana Nape akawa kama mtoto wa Mhe. Lowassa. Ni vyema Nape akawaeleza wananchi sera za CCM kuliko kutukana. Nape amekuwa na bifu na Mhe. Lowassa tangu Mhe. Lowassa alipotangaza nia akiwa CCM kugombea nafasi ya Urais. Nawaomba Mhe. Kikwete, Mhe. Kinana, Mhe. Mangula, Mzee Malecela, Mzee Mmwinyi na wengineo mlio na wadhifa kwenye Chama MUMUONYE huyu kijana sasa anaonekana kupita kiasi. Tujiulize Mungu si Athman, kama ikitokea Mhe. Lowassa akawa Rais Nape atakimbilia wapi?. Malipo ni hapa hapa duniani. NAWASILISHA.
 
Lowassa ana political tolerance atawasamehe wote na kusema hawajui wafanyalo. Vitabu vitakatifu vinatutaka kusameheana. Hata Makufuli akoshinda atasameha wote hata babu S na Mashehe
 
Hata kama kweli. In mwizi nitamchagua ili niiadhibu ccm kwa kushindwa kuwakamata wezi NA badala yake wanatuletea malalamiko kwenye majukwaa ya siasa kana kwamba mahakama hawajui zilipo.tuwaadhibu tusiwachague tena ccm kwa kushindwa kusimamia rasilimali za taifa ipasavyo.tuwakatae!
 
Ni makosa makubwa na kukosa adabu kwa kijana mdogo kama Nape kumtukana Mhe. lowassa. Umri wa Nape na Lowassa kuna tofauti kubwa na inawezekana Nape akawa kama mtoto wa Mhe. Lowassa. Ni vyema Nape akawaeleza wananchi sera za CCM kuliko kutukana. Nape amekuwa na bifu na Mhe. Lowassa tangu Mhe. Lowassa alipotangaza nia akiwa CCM kugombea nafasi ya Urais. Nawaomba Mhe. Kikwete, Mhe. Kinana, Mhe. Mangula, Mzee Malecela, Mzee Mmwinyi na wengineo mlio na wadhifa kwenye Chama MUMUONYE huyu kijana sasa anaonekana kupita kiasi. Tujiulize Mungu si Athman, kama ikitokea Mhe. Lowassa akawa Rais Nape atakimbilia wapi?. Malipo ni hapa hapa duniani. NAWASILISHA.

Mungu si Athumani kweli ila si kwa Lowassa kuwa RAis no
 
Lowassa ana political tolerance atawasamehe wote na kusema hawajui wafanyalo. Vitabu vitakatifu vinatutaka kusameheana. Hata Makufuli akoshinda atasameha wote hata babu S na Mashehe

Ajisamehe mwenyewe kama ukweli ndio huo,nape hakupenda wizi Wa Lowassa tangu ccm hivyo aupende akiwa Cdm !!!
 
naendelea kusema hata akisema yeye mwenyewe kuwa ni fisadi na kweli ameiba ..kura yangu anayo..ndo tushaamuaaaaa
 
Hawa jamaa sjui wanatumia kilevi gani kabla ya kupanda jukwaani

http://m.youtube.com/watch?v=VZdbqAJGf20

Vyombo husika tunataraji hatua kali kwa huu udhalilishaji
 
CCM wana wa mipasho..
si unajua wako na malkia wa mipasho hadija kopa na nasibu wa mipasho a k a nasema naye...
wakifuatiwa na mwananawie..
PEOPLEEEEEEES..
 
Back
Top Bottom