Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

Mimi nikisikia mtu anamkashifu na kumtukana mtu mwingine mwenye umri sawa na baba yake huwa najua ana matatizo makubwa sana kichwani.

Si wote wanaowafahamu baba zao. Wengine hawakuwa na bahati hata ya kuwa na baba wa kufikia wa kuwakanya namna ya kuishi duniani. Waswahili wanasema ukikosa la mama hata la mbwa. Sasa sehemu nyingine mbwa wenyewe hawapo la mbwa angelipata wapi? Mhurumieni maana asiyefunzwa na mamaye, dunia itafanya shughuli hiyo kwa ukamilifu wake.

Kuna walimtangulia kuleta dhihaka na kejeli za namna hiyo, leo wamefutwa kabisa kwenye uso wa dunia. Dunia hadaa, ulimwengu shujaa!
 
Atakuwa msimamizi wa gym ya ikulu na bodigadi wa lowasa, watanzania hatuwezi kuchagua B.wege kama hilo eti liwe rais. Never ever
 
Hahahaha hahahahaha........acha utani mkuu....msafara km wa mwenyekiti wa mtaani kwetu. Kweli CCM hakuna mwenye hamu nacho kwa sasa.
Magufuli TOROKA uje UKAWA utapewa uwaziri wa barabara...Huko unajidhalilisha.
Duuh..Pamoja na PUSH_UP zote hizo!!!!!

#PUSH_UP NI KWA MKEO.
 
Hugo ----- anawapungia mkono polisi?polisi ilitakiwa wajae kama kungekuwa na wananch wanataka kumpa hai.wazee wa kucopy endeleeni.
 
Atakuwa msimamizi wa gym ya ikulu na bodigadi wa lowasa, watanzania hatuwezi kuchagua B.wege kama hilo eti liwe rais. Never ever


Hahahaha...Mkuu Blac kid hicho cheo kinamfaa Sana na pushup hizo anazopiga ni Maandalizi yake kwa hicho cheo baada ya rais wa awamu ya 5 mh. Edward Ngoyai Lowassa kuapishwa.
 
Atakuwa msimamizi wa gym ya ikulu na bodigadi wa lowasa, watanzania hatuwezi kuchagua B.wege kama hilo eti liwe rais. Never ever

Kwa porojo tu hamjambo. Hizi ndizo mbinu na mikakati yenu ya kushinda? Acheni kupotezea watu muda.
 

Attachments

  • IMG-20150929-WA0005.jpg
    IMG-20150929-WA0005.jpg
    52.3 KB · Views: 163
  • IMG-20150929-WA0006.jpg
    IMG-20150929-WA0006.jpg
    48.1 KB · Views: 153
Ni lowasa hatujui zaidi
 

Attachments

  • 1443536074527.jpg
    1443536074527.jpg
    82.1 KB · Views: 115
Hakuwaletea Barabara na UWANJA akiwa waziri leo anasema akiwa RAIS mh!!!!!!!!!!!!Hongereni kama mnaamini ,maana amesema GAS imepewa MCHINA bure kwa MIAKA saba.

Uliza lowasa miaka 35 serikalini ametuletea nini iringa acha kumfanya lowasa kama ni mpya,hiyo sio slaa,
 
Hahahaha...Mkuu Blac kid hicho cheo kinamfaa Sana na pushup hizo anazopiga ni Maandalizi yake kwa hicho cheo baada ya rais wa awamu ya 5 mh. Edward Ngoyai Lowassa kuapishwa.

Lowasa kuwa rais ili tukimtuma umoja wa mataifa kuongea na viongozi wa dunia akajinyee na kutumia aibu, kuwa amir jeshi mkuu atasikia bombani,
 
Kura yangu ilikuwa kwa Magufuli, lakini kwa hayo matusi ....... siwapi tena na badala yake niko mbioni kusambaza miswaki na dawa [toothpaste]kwa viongozi wa CCM ili wapige mswaki wakiwa jukwaani pfffff midomo yao yanuka shombo tena ya mayai viza.
 
Hahahaha hahahahaha........acha utani mkuu....msafara km wa mwenyekiti wa mtaani kwetu. Kweli CCM hakuna mwenye hamu nacho kwa sasa.
Magufuli TOROKA uje UKAWA utapewa uwaziri wa barabara...Huko unajidhalilisha.
Duuh..Pamoja na PUSH_UP zote hizo!!!!!

#PUSH_UP NI KWA MKEO.

Kamuite na majuto ili awafanyie utafiti maana mile kikampuni chenu kilichotoa utafiti hewa na kubainika kiongozi wake ni cdm hajawasaidia
 
Viva amir jeshi mkuu aliyekamilika na wa ukweli ,awamu ya tano ni yako bila baada ya uchaguzi Yale majizi yaliyoiba na yanakusumbua yakiwa upande wa pili yafunge,
 
Haya kama alikwiba. Watanzania tumemsamehe kama Kikwete alivyowasamehe wezi wa EPA. Na sasa tunakwenda kumkabidhi Nchi aiongoze.
Poleni sana CCM.

Huo ujinga waambie UKIWA wenzako, sisi hatujamsamehe, Ikulu tunataka mtu msafi na muadilifu kwelikweli, hatutaki mgombea mwenye madoa doa na makandokando ya wizi na ufisadi. #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI.
 
Kura yangu ilikuwa kwa Magufuli, lakini kwa hayo matusi ....... siwapi tena na badala yake niko mbioni kusambaza miswaki na dawa [toothpaste]kwa viongozi wa CCM ili wapige mswaki wakiwa jukwaani pfffff midomo yao yanuka shombo tena ya mayai viza.

Kura yako haisaidii kitu wewe, MAGUFULI ndio rais wako, with or without your vote!
 
Back
Top Bottom