Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuchagui personal issure za Raisi Lowassa...
Tunachagua mabadiliko..
Nape ni mpumbavu tena juha la kwanza duniani. Wakati alikuw akiiba si mliomwona? Kwa nini hamkumuchukulia hatua za kisheria kama wezi wengine badala yake mkazidi kumbadilishia sekta hadi kumpa uwaziri mkuu?
Mkiambiwa ccm na serikali yake ni majizi mnakataa nini wakati mmekuwa mkipandisha vyeo na kuwafana wakku wa serikalini huku mkijua ni majizi?
NAPe ANALITHIBITISHIA TAIFA KWAMBA CCM HAINA UWEZO WALA MORAL AUTHORITY YA KUONGOZA NCHI KWA SABABU TAYARI IMESHASHINDWA KUSIMAMIA MASLAHI YA TAIFA.
AMEKIRI KWAMBA IMEKUWA IKITENGENEZA NA KUWAFUGA WEZI, NA BADALA YA KUWACHUKULIA HATUA WANABADILISHIWA VYEO NA KUPANDISHWA HADI UWAIZIRI MKUU.
HALFU MWISHO KUANZA KULALAMIKA KWA WANANCHI ETI ALIKUWA MWIZI AS IF NCHI HAINA SHERIA NA MAHAKAMA HAZIPO. WHAT A SHAME!!!!!!!!
NAPE NI MPUMBAVU NAMBARI ONE. NO WONDER LINAKWENDA KUANGUKA KWENYE UCHAGUZI.
BILA HAYA ETI LOWASAKIBOKO YAKE MIMI. WHO ARE YOU NGUCHIRO MKUBWA? UNGELIKUWA KIBOKO YAKE KWA NINI HUKUMPELEKA MAHAKAMANI ILI AHUKUMIWE NA HAKI YA WATANZANIA IPATIKANE?
PUMBAVU SANA HILI JAMAA.
Kana ni mwizi na waliendelea kumteua basi waliomteua aliwapa mgao na hao ndio wa kuchukuliwa hatua kali sana
kuna kitu kimoja unajitia upofu....Kwa nini hawakumwadhibu(kwa kumshitaki mahakamani)muda wote mpaka alipoamua kuondoka mwenyewe..........Wananchi wanamchagua Lowasa si kwa kuwa ni kiongozi bora,bali kuiamsha na kuiadhibu CCM kwa kuwa kichaka cha kulea maovu kwa miaka yote hii.Kaa ukitambua hakuna kashfa yoyote mtakayozua sasa ionekane ni ''shocker''........
Wananchi wa jimboni kwake hawamtaki.
swissme
Hbr wana Jf? Katibu wa Mbwembwe wa Magamba habar zake hatuzipat au hali tete Jimbon Mtama? Tujuzane wadau
Utamsikia leo tune star tv alikuwa live leo Iringa, matusi aliyoyaporomosha kwa Lowasa na Msigwa ni balaa.
Updates ya Magufuli comments 34 tu
Ya Lowassa mpaka sasa ni zaidi ya 249
Utamsikia leo tune star tv alikuwa live leo Iringa, matusi aliyoyaporomosha kwa Lowasa na Msigwa ni balaa.