Kutoka Julius Nyerere International Convention Centre: Kongamano la Maudhui ya wazawa Kushiriki Mradi wa Bomba la Mafuta ECOP

Kutoka Julius Nyerere International Convention Centre: Kongamano la Maudhui ya wazawa Kushiriki Mradi wa Bomba la Mafuta ECOP

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Mgeni Rasmi, Waziri wa Nishati na Madini Mh. January Makamba, wengine ni naibu waziri wa nishati na Madini
 
Huo mrafo ni mwaka wa tano huu tunasikia kelele kuwa utazaa ajira na kufaidisha watz na blahblah nyingi sana.

Binafsi nimechoka kuusikia.
 
huu mkutano mbona hawajautangaza wadau wahudhurie
 
Back
Top Bottom