Elections 2010 Kutoka kampeni za mwisho za CCM Jangwani

usiondoke msikilize mzee mwinyi, jipe moyo mbona slaa kashinda humu JF

Haswaaa! apeleke uhuni wake hukohuko kashindwa kanisa la imani moja sembuse nchi yeney maimani kibao.
ajiandaa kurudi karatu after five years
 
Yaani Mzee Mwinyi badala ya kuelezea watawakomboa vipi waTZ na umasikini yaani anaelezea upupu tuuu, sasa kweli tanzania hatuna viongozi!!!!, kumfagilia JK, siyo waTZ tunachohitaji!!!!
 
Nakusikitikia sana Burn, eti mgombea mwenza, nani anataka kuongozwa na mzee ambaye anahesabu siku zake za kufa? .
masuala ya kufa mimi si mungu, niambie mgombea mwenza wa CHADEMA anaelimu gani bana.
 
Mwalimu:Na tukirud huku kusini......
Mwanafunzi:Mwaliimu
Mwalimu: Ehe, uliza swali lako
Mwanafunzi:Sasa kama ndo hivyo kwa nini sisi bado maskini?
Mwalimu:?\;'|;,`~***
 
Si walisema Mwinyi amezira, leo katoka wapi tena?originally posted by jenifa

Katoka kuzimu!karudi duniani bila hodi kama wewe ulivyoingia nyumbani kwa watu bila hodi!!!!!
basi hodi baba na shikamoo pia. naomba niingie ndani
 
Hotuba ya Mwinyi ni kama ile ya Julius Nyerere kule Moshi mwaka 1995, inaonekana hali si nzuri na sasa ni karata ya mwisho ya kujaribu kubadilisha mawzo ya wapiga kura
 
Nilisema hapo kabla kuwa huu mpambano siyo lelemama, kuondoa chama tawala madarakani watakaoathirika ni wengi sana hasa vyeo vya wateule.
 
denja man mkaa hapa aka mkapa na yeye anaelekea kuendeleza wimbi la kutudanganya
 
[QUOTEWarioba na Mkapa watakuwa wamebembelezwa na kupigiwa magoti mpaka kufika pale. At least wamefikisha ujumbe wao kwa kukaa kimya na kujitenga na JK ili atakaposhindwa kwa kishindo, iwe aibu yake yeye, Salma na Ridhiwan.

Nimeongea na bibi yangu mida tu, ataipigia kura CHADEMA kesho -kwa mara ya kwanza kabisa]

Bibi yako kwa maana ya hawara au huyo aso na meno , pumbafu
 
eti umbea wao wa hovyo hovyo we mwache tu tukichukua nchi lazima aende kisutu akajibu tuhuma za ufisadi wa mgodi wa kiwila
 
Mbona sasa ni hadithi tu??? mbona ni stori za kale?? naona kinyaa, anajishushia heshima yake!!!
 
hivi wapo kwa ajili ya kueleza profile yake au kueleza watatusaidieje?
 
afya, elimu, barabara na ufisadi......
 
watu ni wengi saaaana, this shows he is going to win it

Wale wote wako pale kwa sh. 5000. Kesho wote watampigia Dr. Slaa.

Mimi mwenyewe nimeona wako kibao mabasi yakiwasomba. Sijui kwanini watu hawaendi wenywewe!!
mbona kwa dr. Slaa hawabebwi, wanaenda wenyewe??
kifo cha CCM is now
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…