Elections 2010 Kutoka kampeni za mwisho za CCM Jangwani

Hakika Mkapa kawashushua mapaka shume wa siasa walojaa husuda na wadandia aji yaso wahusu kurukia
fagia mangi wote na takataka walo nyuma yao
jumanne tunataka kujua mnakuja na verse gani maana ile ya karatasi za china zenye tiki inayohama sasa ni chorus
 
Haya nimetulia mpwa!! tatizo mnatuletea hadithi badala ya sera!!! huoni kuwa wamelazimishwa kuongea jukwaani!!! VIVA SLAAA
 
hivi wapo kwa ajili ya kueleza profile yake au kueleza watatusaidieje?

ulitaka waanze kuporomosha mijitusi kama majuha wa dizaini ya marando and gang
 
Mwinyi ana wasiwasi na afya ya Kikwete amehitimisha hotuba yake kwa kusema kuwa wamchague kwa kuwa ana afya bora wakati anajua kuwa leo anaweza kuanguka tena
 
Mngejua Mkapa ndo anamalizia hasira zake kwa kua katajwa katika kashfa ya kiwira, ulidhani atasemaje? fisadi kwa fisadi
 
Kwa wale mnaoangalia tujuzeni jamani bado tu hajaanguka?
 
slaa hana uwezo kuweka mafuta kwenye ilikopta yake ataweza kuwabeba wenzake, ccm imejiandaa kwa kampeni.
aaaaah mrembo wa hereni upooo nakuona tuu!
 
Mkapa anampigia debe KIAINA... Nampenda Mkapa

Mkapa ana hekima sana. Anajua fika kuwa Mkwere anaua Chama.

Ameenda hapo kutaka kumpa moyo kuwa wako pamoja, but in real sense, JK hana support kutoka kwa Mkapa.
 
wote hao jangwani nao ni majuha wanakwenda kumsikiliza juha mwenzao na jana ndio ameuthibithishia umma kwamba ni juha
 
Mkapa ana lake moyoni.... kaazi kweli kweli, si anataka fisadi mwenzie achaguliwe ile aendelee kulindwa!!!
 

Kwani hao ni chadema peleka umbea jikoni kwa mamako jikoni
 
Dah, mduara huu jamani, Mkapa kwa sindimba na JK kwa ngoma sasa wanakata viuno tu
 
hahahaha mkapa katukumbusha kumuogopa Slaa kwa kwakuwa anataka kuitumbukiza nchi katika dhambi ya ubaguzi wa dini, imekula kwa hao maaskofu feki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…