Pamoja na viongozi wa vyama vya upinzani kutokuwa 'seriuos' kama unavyo sema wewe; lakini hawa viongozi kuwa 'serious' kunategemea kwa sehemu kubwa sana u'serious' wanao uonyesha wananchi wenyewe.Viongozi wa wetu wanaweza kushitakiwa kama waalifu wa kibinadamu..
Sema hawa vyama vya upinzani navyo havipo serious sana rasivyo kwa kilichotokea hapo nyuma tekateka na mauaji ya viongozi wa upinzani kingetosha kabisa kuwanyoosha.
Kama vyama vya upinzani wanaitisha maandamano kupinga maovu wananchi wanashindwa kujitokeza; hwa viongozi watakuwaje 'serious' zaidi ya walivyo sasa!
Ndiyo, mimi ninge sema vyama vya upinzani havipo 'serious' kwa kushindwa kuwa elimisha wananchi juu ya haki zao na kuwaaminisha kuwa vyama hivyo vinapambana kubadili hali mbovu iliyopo.
Hivi vyama vya upinzani vimeshindwa kabisa kuwapa imani hiyo wananchi, ndiyo sababu imekuwa vigumu wananchi kujitokeza na kushiriki kwenye mapambano.