Iiih yawezekana !Kabendera atakuwa anaugua kale kaugonjwa Paranoid personality disorder !
Ukiwa na akili timamu wewe inatoshaHauna akili timamu kama unaamini Rais mstaafu naye anahitaji kibali kama mkuu wa idara au mkurugenzi kuweza kwenda nje kupata matibabu.
Labda imezuka dini ya ukichaa chaa fulani hivi.Ichokitabu kitakuwa nicha dini mpya,tuambiwetu dini inaitwaje ilitukiulizwa tuseme sisi niwaumini wa dinigani.
Vitabu vya dini havihitaji udhibitisho ni mwendo wa kuaminitu nakutoa sadaka.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
KabisaChuki baba! Mtu akiwa na chuki na wewe anaweza fanya lolote lile Ili tuu roho yake ifurahie,mtu akiwa na chuki na wewe, anaweza kumsaidia shetani unyooke!!
Naam Naam hakika.AKILI KUBWA SANA WEWE. HII SI BURE YUPO MASTER NYUMA YA HII SINEMA. NI MUDA TU " "
Toa ushahidi badala ya ubabaishaji kuwa umesoma. Kwani, ukisoma unamsomea nani? Kwani Kabendera hawezi kudanganya au kutunga stori kama shigongo? Kwanini wangoje Jiwe atoweke ndiiyo waje kutuletea umbea? Si alikuwa nje si angeandika tu.###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###
Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,
Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu
Nawakumbusheni msome kitabu
Propaganda za ma masta mind fulani wanaomfadhili na kumtumia kaflagHiki kitabu ni cha watu wenye low IQ.
Katika madai yote aliyoandika ametoa rejea za vyanzo vyake au yeye mwenye ndiye chanzo? Mtu mwenye akili husoma vitabu vyeney kufahamisha ukweli na kuelimisha.###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###
Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,
Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu
Nawakumbusheni msome kitabu
huyo huyo mkuu, best frendi wa mr slim, ila mr slim hafai kuaminika kabisaYaani ukitumwa kuua ukakubali ukimaliza tu na wewe wanakuua.
Kuua ni kubaya sana.
Unazungumzia Gen Fred Rweygema?
NARUDIA TENA.HAUNA AKILI TIMAMU KAMA UNAAMINI MKAPA KUTOKA NJE YA NCHI KWA MATIBABU NI MPAKA JIWE ATOE RUHUSA.Ukiwa na akili timamu wewe inatosha
Inakusaidia nini ukishaweka idadi ya watoto wake?Mkuu matusi yote ya nini hayo?!
Ugumba, uhanithi, utasa namshukuru Mungu sikuwahi pitia hayo hadi muda huu wa uzee, ikiwa hata kuzaa nilishastop miaka sasa.
Huu uzi watu wanaweka vitu walivyokutana navyo kwenye kitabu nami nimeweka hilo la watoto 27...
Hata kama angekuwa na wanne au 12 ningeweka pia.
Hahaahaaaa! Legend atabaki legend tu. Wabaya wanajaribu kuzika legancy kila siku lakini wapi!
Legend hakuwahi kushindwa.... Miaka 20 anashinda ubunge, mara mbili anashinda uraisi, kafa anawashinda wafitini. Hadi leo mnajaribu kuua jina lake lakini hata jina linawashinda.
Hovyo kabisa
NdioNi Allah ndo kamuondoa?
Wasije watu wakapelekwa msitu wa Shakahola ! Ohooo ! ππ€£Labda imezuka dini ya ukichaa chaa fulani hivi.
Tuondokane na mfumo CCM kwani na huyu dadake Jiwe naye hakuna kitu.###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###
Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,
Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu
Nawakumbusheni msome kitabu
Unadhani kwanini majambazi licha yakuwa na silaha nzito lkn wanatembea na pikikipiki huku wakiwa wameficha uso? Hakuna binaadam ambae sio mogaKwamba Fingerprint ya Mo ilikuwa inatakiwa kutoa hizo Pesa ? Yaani watu wenye Power ya kuteka, kufreeze akaunti na kupigia mameneja wakae mpaka jioni kutoa pesa wanashindwa kushinikiza pesa iwe transferred popote wanapotaka au wakati wowote wanaotaka ?
This is insulting our intelligence...
????Kama alikuwa na uwezo wa kugharamia matibabu binafsi kibali cha kutoka nje ya nchi kilihitajika kwa minajili gani?
Mbona mimi nilikuwa nasafiri nje ya nchi bila kuomba kibali toka kwa yeyote yule. Sembuse Rais Mkapa na connections zote alizonazo?
Make it make sense.
Kinapatikana wapi na bei gani?###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###
Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,
Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu
Nawakumbusheni msome kitabu
Binaadam wote duniani woga , hio sifa kuu ya binaadamKabendera amenichekesha sana anaposema kuwa Mo alikuwa anapelekwa bank ili aweke finger print watoe pesa hahahahaha hakika Erick ni mwehu yani watu wenye mamlaka ya kufunga account ya pesa ya mtu na kuchukua pesa wahangaike na wewe kukupeleka bank ili wakatoe pesa hahahaha hakika hichi ni kituko
Kuna kitu hapo kwenye hiyo ajaliJamaa waliosafirisha mzigo, baada ya kukabidhi wakiwa wanarudi Dar wakapata ajali wakafa, taarifa ikatoka walikuwa wamelewa.
Wanajulikana !Naam Naam hakika.