Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

fred alipigwa risasi na mlinzi wake akiwa camp, m7 akatuma binamu yake kumchukua hyo mlinz ili apelekwe ug kwa mahojiano zaid, wakiwa mpakan mwa rwanda na ug mlinzi akapigwa risas akafa, mpaka leo ukihoji kifo cha fred unawekwa sehemu salama fasta.
Fred ni nani!
 
Huyu mtu alikuwa hatari sana na alifanya maovu mengi mno!
 
Ebu mda mwingine tuwe tunashirikisha akili zetu vizuri alizotujaalia Mwenyezi Mungu,hivi kweli late Mkapa kwa pesa alizokuwa nazo alishidwa kwel kwenda south kwa matibabu kwa vile magu alikataaa yeye kwenda soutg
Ishu sio kuwa na hela bali kupata ruhusa.
 
Kama mtu unaweza kununua kitabu cha Yerico Nyerere, ccm inahitaji mtutu wa bunduki wa nini kuendelea kubaki madarakani?

Kama una akili za kununua kitabu cha Yerico basi ccm hawana sababu ya kutafta mtutu, hata manati haihitajiki, labda makofi.
Na wewe ni assassin kama babako Magufuli.
 
Si mlisema JK alikuwa anacheka Cheka mnataka chuma,haya kula Chuka hiko 😂😂

Huyo ndio Jiwe na baada ya Samia anakuja kichaa mwingine dizaini ya hiyo msije sema sikuwaambia.
 
Niugue mwenyewe harafu mpuuzi mmja anizuie? Hii hapana
 
Kama mtu unaweza kununua kitabu cha Yerico Nyerere, ccm inahitaji mtutu wa bunduki wa nini kuendelea kubaki madarakani?

Kama una akili za kununua kitabu cha Yerico basi ccm hawana sababu ya kutafta mtutu, hata manati haihitajiki, labda makofi.
Huyo Yerico aliyetuambia makomandoo wawili wa JWTZ walienda kimyakimya kuichukua rada ya Burundi na kuileta ikulu alafu Mwinyi akampigia simu Buyoya na kumwambia shka adabu nina rada yako.
 
Passport yako ndio kibali cha kusafiri nje lakini hata ukiwa nayo waweza kupigwa stop na mamlaka usitoke.
 
Wengi wenu ni either CCM au watu kutoka pande za Chato. Uozo wa Magufuli ndio kwanza unaanza kujulikana subirini mtaona.
Mkapa hakuwa na uwezo wa kwenda Hapo SA mwenyewe? Hizi story zingine za kijinga sana.

Hizi story zimekaa kitoto toto natilia shaka utimamu wa akili ya mwandishi.


Exactly!

Hata mimi wala simtetei Magufuli.

Ila mtu akija na stori zake akiniambia Magufuli alifanya hivi au vile, nikiona simulizi yake haiingii akilini, nitahoji mpaka pale utaponishawishi zaidi.
 
Unadhani kwanini majambazi licha yakuwa na silaha nzito lkn wanatembea na pikikipiki huku wakiwa wameficha uso? Hakuna binaadam ambae sio moga
????
Hapa umejibu nini ? Kipi ni hatari zaidi? Kumteka mtu ili utembee nae kila jioni kwa kuwapigia watu simu ili wakae overtime ili uchukue pesa (as if hizo pesa ni kama pilau mnakenda kuipika kwenye hio benki), kumbuka kwa kufanya hivyo unaongeza uwezekano wa leakage hakuna siri ya watu wawili Au kutumia uwezo wako (power) na madudu ya mtu (mfanyabiashara hayakosekani) na kumshikiza (kufreeze akaunti) kwamba atoe kiasi fulani apeleke sehemu fulani au mtu fulani atakuja ampe kiasi fulani ?
 
hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho, hakuna marefu yasiyo na ncha, CCM ina mwisho wake, ila huo mwisho utakuwa ni bonge moja la simulizi la kusimuliwa miaka ya 2100 na 2200 huko

sasa ili hiyo stori inoge pindi vitukuu vyetu wanasimulia wajukuu zao, hali lazima iwe ngumu ili stori iwe na mashiko, maana stori tamu lazima steringi wateseke sana na adui akaze kinoma, hapo ndio limuvi linanoga

si mnajua yooote yanapita, yoote ni simulizi tu yanapita,
 
Acha upotoshaji wa kijinga, ccm haiko madarakani kwa ridhaa ya wananchi, bali iko kwa mbeleko ya vyombo vya dola.
 
Fanya utafiti wako bado MO yupo hai halafu uje na hoja kukipinga hoja za kitabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…