Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Du wewe nawe!
 
Duuuhh.....
 
Ebu mda mwingine tuwe tunashirikisha akili zetu vizuri alizotujaalia Mwenyezi Mungu,hivi kweli late Mkapa kwa pesa alizokuwa nazo alishidwa kwel kwenda south kwa matibabu kwa vile magu alikataaa yeye kwenda soutg
Vibali vya matibabu vya viongozi anatoa raisi mkuu,
 
mtuwekee hicho kitabu na muvi yake
 
Angalizo zuri na makini
 
UONGO MWINGINE HAUNA HATA MAANA YAANI MKAPA ALIKUWA HANA HELA YA KUWEZA KUMPELEKA KUTIBIWA HAPO SOUTH AFRICA TU? PIMENI NA UONGO WA KUSEMA
 
Si walisema watawarudishia?
 
Dah!...
 
Kuna wakati burden of proof ina shift kwenda kwa mlalamikiwa.

Lakini pia unatakiwa kufahamu kuwa kwenye madai burden of proof ni kwenye balance of probability na sio beyond reasonable doubt kama wengi wanavyodanganyaka huku.

Sasa ukiangalia haya madai yapo 50/50 sababu anahitajika mmoja wa wahanga kutoa kauli mzani uyumbe na bado wamekaa kimya. Hii maana yake ni kuwa hadi sasa mambo yame balance kwenye probability.
 
Polisi tena?
U are kidding boss!
You're missing the point.
Habari za utekaji wa Moh zilienea sana na zilikuwepo kwenye media karibu kila siku. Kama lingekuwa jambo la wazi namna hiyo mpaka Benki iwe inajua (lazima wangejua kuwa pesa zinatolewa kwenye akaunti ya important client), obviously habari zingesambaa mtaani, na hata Investigative journalists wangeipata hiyo story by then, hata kama polisi walihusika moja kwa moja.

Inawezekana ni kweli state machinery ilihusika kumteka Moh, lakini hapo kitachoshangaza ni dhana kuwa walikuwa wanaenda naye benki kuwithdraw mapesa. Hapo sikubali.
 
Mmapenda mambo ya fake news. Story za vijiweni na kuunga unga, kutengeneza chuki.

Waandishi wa habari wanatumia kalamu kutengeneza uongo halafu wakinyamazishwa wanadai wanaomewa.

Huu sio ujumbe wa mtu mwenye chuki, endeleeni tu na siasa za maji machafu ukweli hujitenge na uongo siku zote
 
Umemaliza πŸ™
 
Kidogo kidogo kunapambazuka.
 
Kumbe alikuwa halipi kodi?
Dah!
na GSM naye aangalie maana Rais Hafidh alishatoa amri asisikie anasumbuliwa huko bandarini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…