Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Haha😂😂😂😂😂😂 vituko hivi hahaha
 
Mention her name so that we be sure that you are not talking about a ghost
 
Huu ujasiri wa Kabendera sisi Watanzania huwa hatunao huyu jamaa katoka wapi?

Hata Jemadari Lissu ujasiri wake sio wa Nchi hii hawa watu au kuna mutation kwenye genes za Mtanzania?!

Mimi nilikuwa nafikiri zile genes za ujasiri zilienda na akina Mkwawa na Songea Mbano?

Only time will tell...
 
Nadhani kuna kitu zaidi Kabendera ana Conspire

Kuna drama nyingi sana zimechezwa kwenye hicho kitabu
Mfano mimi pesa zangu zilichukuliwa kwenye account na TRA wakati kesi yetu ilikuwa dhidi ya TAKUKURU.
Swali, je Pesa zilizochukuliwa na TRA kwa amri kutoka juu ilienda wapi?
 
Kwanini ulete maswali mengi wakati kuna uwezekano wa mwenyewe kutoa pesa na kuwakabidhi.
 
N
Nonsense
 
Under tyrannical rule of jpm, anything was possible
 
Mboongoeee,bongo daslaammuuu,watalia lia lia lia,mbongo daslaalaaaam
 
Magufuri hakupenda kabisa kusikia kuhusu covid,huenda hata hao madaktar waliokubali kuwa mkapa ana covid walifukuzwa kaz

Ndo tatzo la kusoma sayans afu uwe na akili za kijinga unakuwa unajiamin kupitiliza na unakuwa na misimamo uchwara
 
Jpm hakuwa na uwezo/akili ya kufikiri hivyo. Alikuwa ni takataka nyingine iliyowahi kuishi ikulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…