Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Tatizo halikua kutoka Nje.

Shida ni anaenda kutibiwa COVID 19, Of which yeye anasema haipo imeondoka na maombi ya siku tatu.

Na kabla ya hapo, alisema tujifukize
 
Sasa mkuu kama serikali wakichukua PESA ya mtu bank auoni iyo pesa inauwezekano mkubwa wa kurudi ..as long as PESA ili wekwa bank na vidhibitisho vipoo..
 
Bora hichi kitabu au kile cha How Europe Underdevelop Africa?????
 
Wewe ni mshenzi kama huyo fala na mshenzi wako ******** !
Unachobisha hapo ni nini na akili yako ndogo hiyo yenye kamasi
Kwani hujui kwamba Mo ni international icon na kuna jinsi ya kumlazimisha kuwithdraw pesa kwa njia tofauti na watu wengine wa kawaida ? , Hujui kwamba kuna repricautions ambazo huyo mjinga ******** na utawala wake wa vilaza alikuwa anazikwepa hasa kwa WTO na organisation nyingine ,kama wangegundua kwamba Mo pesa zake zimetaifishwa kingewaka na hata na Makampuni mengine kuacha kabisa kufanya biashara humu na kukimbia
Kabendera ana akili kuliko ninyi wapumbavu ,misukule ya ccm na ******** aka mataga
Takataka kabisa ninyi
Magufoool alikuwa ni mwehu na alifanya vile ili kupata fingerprints za MO ili ionekane MO alitoa hizo pesa kwa idhini yake ili kukwepa scrutiny ya international community , pumbavu Sana huyo .
 
Acha bc
 
Mkuu shida sio kusafiri, shida ilikua kusafiri kwenda kutibiwa COVID 19.

Kwa vile Jiwe aliamini VOVID 19 ni propaganda za mabeberu, ingekua ni aibu kwake kwa jumuia ya kimataifa kuona Rais mstaafu anaumwa na kutibiwa COVID 19 SA.

Kwa logic ya kawaida ni lazima alikataa.

Kwani ni mara ngapi, Hospitalini walikataliwa kusema unaumwa COVID bali ni changamoto ya upumuaji?

Kama aliweza kuwazuia, watu wenye taaluma yao kulizungumzia COVID hapa ndani angeweza kuruhusu Ben akatibiwe nje? Vyombo vya habari vya kimataifa vingeandikaje
 
Duh watu mna siri
 
Kwa hiyo watu wasiamini kitabu ila wamuamini mama yako.
 
Ni mjinga na kilaza pekee anayeweza kuziamini hizi hadithi/soga za Abunuasi na karumakenge
 
Duh
 
Ya kweli hayo? Mbona nahamasika kukitafuta hicho kitabu?
 
Magufuli ipo censored?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…