The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Tatizo halikua kutoka Nje.Kama alikuwa na uwezo wa kugharamia matibabu binafsi kibali cha kutoka nje ya nchi kilihitajika kwa minajili gani?
Mbona mimi nilikuwa nasafiri nje ya nchi bila kuomba kibali toka kwa yeyote yule. Sembuse Rais Mkapa na connections zote alizonazo?
Make it make sense.
Shida ni anaenda kutibiwa COVID 19, Of which yeye anasema haipo imeondoka na maombi ya siku tatu.
Na kabla ya hapo, alisema tujifukize